logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumapili, 10 septemba 2006
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
tp.spc

Kesi za ubakaji watoto zaongezeka


na Asha Bani

KESI za ubakaji katika Mahakama za Watoto nchini zimeongezeka kwa kiasi kikubwa.

Hayo yalibainishwa na Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kinondoni, Hamisa Kalombola kwenye semina ya siku moja iliyokuwa ikizungumzia mada ya ndoa katika umri mdogo na ubakaji, iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA).

Hamisa alisema ingawa hana takwimu za matukio ya ubakaji, lakini ni mengi ambayo anashindwa kuelewa chanzo chake.

Aliwashauri waandishi wa habari kuripoti habari za Mahakama ya Watoto ambapo kuna matukio mengi ya ubakaji, ili jamii ielewe matatizo wanayoyapata watoto.

Pia aliwashauri waandishi hao kuripoti taarifa kwa usahihi na bila upendeleo.

Mmoja wa washiriki wa semina hiyo, Pudensiana Temba, ambaye alikuwa katika utafiti wa kujua chanzo cha watoto kuolewa katika umri mdogo alisema ni umasikini wa baadhi ya wanachi wa vijijini.

 


h.sep

juu sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2006 © FreeMedia Ltd.
Free media limited
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234