logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumanne, 12 septemba 2006
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
tp.spc

Nyota wa Kriketi aula TASWA


na Eugenia Kimolo

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), jana kilimchagua mchezaji wa timu ya taifa ya kriketi, Athumani Kamponzi kuwa mwanamichezo bora wa Agosti, mwaka huu.

Hafla ya uteuzi wa mchezaji huyo ilifanyika jana kwenye Mgahawa wa Hadees jijini Dar es Salaam ambako Kamponzi aliwashinda wanamichezo wengine watatu katika mchakato wa kura za baadhi ya waandishi wa habari za michezo Tanzania kutoka vyombo mbalimbali vya habari.

Kamponzi aliyeisaidia timu ya Tanzania kupata tiketi ya kucheza michuano ya dunia na kuwa mchezaji bora wa michuano ya Kanda ya Afrika iliyofanyika jijini Dar es Salaam, alipata kura 112 na kuwabwaga bondia Rogers Mtagwa aliyepata kura 82; Omari Changa wa Kagera Sugar aliyepata kura 74, na Shaun Miller aliyepata kura 67.

Tuzo hizo zinazodhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, zilianza kutolewa Januari ambako zawadi ya kila mwezi ni sh 100,000. Tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka itafanyika mapema mwakani na zawadi iliyoandaliwa hadi sasa ni sh 300,000.

 


h.sep

juu sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2006 © FreeMedia Ltd.
Free media limited
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234