logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumamosi, 9 septemba 2006
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Kikwete amfuata Tibaigana ofisini [Kulwa Karedia]
spc
RAIS Jakaya Kikwete, jana alitembelea ofisi kadhaa zilizo chini ya Wizara ya Usalama wa Raia mkoani Dar es Salaam, na kwenda hadi ofisini kwa Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Alfred Tibaigana...
Polisi mpya yaja [Kulwa Karedia]
spc
MABADILIKO makubwa ya muundo, utendaji kazi, sheria na kanuni ndani ya Jeshi la Polisi, yanakuja. Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Inspekta Jenerali, Said Mwema, amemweleza Rais Jakaya Kikwete kwamba mabadiliko hayo yameshaanza kutekelezwa...
Mchakato ubunge EAC CHADEMA waanza [Charles Mullinda]
spc
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza utaratibu wa kuteua wanachama wanaotaka kugombea ubunge wa Afrika Mashariki, na sifa za waombaji...
Mahakama yapata kigugumizi [Happiness Katabazi]
spc
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imekataa kufuta Sheria ya Mirathi ya Kimila ya mwaka 1963, katika kesi ya kikatiba namba 82/2005, iliyofunguliwa na wajane wawili kutoka mkoani Shinyanga...
Makamba nje ya Baraza [Mwandishi Wetu]
spc
YUSSUF Makamba, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani, ameachia madaraka hayo...
juu
spc
Osama aonekana akipanga mashambulizi   CAIRO, Misri
spc
TELEVISHENI ya Kiarabu ya Al-Jazeera juzi ilionyesha video ambayo haikuwahi kuonyeshwa huko nyuma ya maandalizi ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001, ambayo mkuu wa kundi la Al-Qaeda, Osama bin Laden, anaonekana akikutana na baadhi ya wapangaji wa mashambulizi hayo kwenye moja ya kambi yao iliyoko milimani Afghanistan...
Obasanjo amkaanga makamu wake bungeni   ABUJA, Nigeria
spc
RAIS Olusegun Obasanjo, amewasilisha ripoti kwenye baraza la seneti juzi akimtuhumu makamu wake wa rais kwa udanganyifu, kitu ambacho wachambuzi wa mambo wanasema kwamba ni jaribio la kumkwamisha asigombee kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao...
Ufaransa yakataa vita dhidi ya ugaidi   PARIS, Ufaransa
spc
UFARANSA juzi ilitoa kile kinachoonekana kuikosoa sera ya kigeni ya Marekani, kwa kukataa kuiunga mkono vita dhidi ya ugaidi...
juu
spc
Daktari kizimbani kwa kuua [Irene Mark]
spc
DAKTARI Josam Mosha (40), wa zahanati ya Manzese Midizini, Dar es Salaam, amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, akikabiliwa na tuhuma za mauaji ya msichana wa miaka16...
‘Someni vitabu’ [Dauson Harold ]
spc
JAMII imeaswa kujisomea vitabu ili kupanua uwezo na ufahamu wa mambo mbalimbali ili kujiletea maendeleo binafsi na nchi kwa ujumla...
TPA yaamriwa kuwalipa watumishi wake [Nasra Abdallah]
spc
MAHAKAMA ya Kazi imeiamuru Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwalipa walimu 13 wa Chuo cha Bandari, waliofungua kesi ya kudai nyongeza ya mishahara na kuwapandisha vyeo...
juu
spc
Maktaba Mwanza haina vitabu    mwanza [Jovin Mihambi]
spc
MAKTABA ya Mkoa wa Mwanza inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vitabu vya ziada na kiada na vilivyopo havikidhi mahitaji ya walengwa na vingine vimepitwa na wakati...
SMZ yatao eneo kujenga ofisi ya Makamu wa Rais    [Mwandishi Wetu]
spc
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, jana ilikabidhi rasmi Serikali ya Muungano wa Tanzania, hati ya kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Makamu wa Rais Zanzibar...
Mabadiliko ya mitaala yakwamisha elimu    moro [Magdalena Ally]
spc
MABADILIKO ya mara kwa mara ya mfumo wa elimu nchini yamechangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa kiwango cha elimu, badala kukipandisha...
Bilioni 10/- kuimarisha maji Pwani    ruvu [Julieth Mkireri]
spc
SHILINGI bilioni 10 na milioni 166, zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani kwa kipindi cha fedha 2006/07...
Chumba cha umeme Soko Kuu chapangishwa    arusha [R. Siwayombe]
spc
WAFANYABIASHARA wa jumla na reja reja wa Soko Kuu la Kilombero, Manispaa ya Arusha, wameulalamikia uongozi wa soko hilo kwa kupangisha chumba maalumu chenye swichi za umeme za soko zima...
Mkurugenzi agoma kuongea    magu [Osoro Nyawangah]
spc
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu, Mwanza imesema kuwa haiko tayari kuzungumzia hadharani hatima ya watumishi wake waliofuja mali...
Bil. 7/- kuboresha maji Dodoma    [Martha Mtangoo]
spc
SHILINGI bilioni 7.5 zitatumika katika utekelezaji wa mradi wa uboreshaji huduma ya maji safi na taka mkoani Dodoma...
juu
spc
Tahariri    Ngasongwa, Celina wawe makini
spc
MKUU wa Wilaya ya Ulanga, amesema mgogoro wa uchimbaji wa madini katika eneo la Ipanko, unahitaji kutafutiwa ufumbuzi wa haraka. Akiwa kiongozi wa serikali wilayani humo, alisema yapo anayoweza kuyatekeleza, lakini mengine yanapaswa kutekelezwa na Wizara ya Nishati na Madini, haraka iwezekanavyo...
Tutafakari Ujinga unatufunga mikono  [Baltasar Mwema]
spc
UHURU na ujinga ni vitu viwili vinavyopingana. Kwa sababu hiyo ni wajibu wetu kupigana na adui ujinga kusudi tuwe na maamuzi yetu wenyewe. Narudia nilichoandika wiki kadhaa zilizopita...
Simo Mtaendekeza ufisadi hadi lini?  [Mzee wa Kujitoa]
spc
NASEMA sitaki mnikaushe koo kwa kulia na kupiga yowe. Mbona baadhi ya matendo mnayofanya ninyi hata hayawani asingethubutu kuyafanya mwanangu? Nizungumze lugha gani mnielewe mtoto wa watu?...
Mtazamo wangu Sera ya karafuu ianze kazi  [Salim Said Salim]
spc
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa mara nyingine imetangaza mpango wa kubinafsisha biashara ya karafuu ambayo kwa miaka 42 sasa, tangu Mapinduzi ya 1964, imekuwa mikononi mwa Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar (ZSTC)...
juu
spc
IBF Afrika yamtega Matumla    [Mwandishi Wetu]
spc
BONDIA Mbwana Matumla ‘Golden Boy’ wa Tanzania ameonywa kupanda ulingoni leo kucheza na Alfonso Zyenyika wa Zimbabwe katika pambano la kimataifa la kuwania tiketi ya ubingwa wa Super Fly...
KIFA yaonya klabu Kinondoni    [Eugenia Kimolo]
spc
UONGOZI wa Chama cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA) umewaonya watu wanaozunguka kwenye klabu kuzirubuni kushiriki mkutano ulioitishwa na baadhi ya wadau...
Maximo afuta mechi Simba na Yanga SC    [Deodatus Mkuchu]
spc
HESABU za Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Marcio Maximo, kuwa mechi ya kirafiki dhidi ya Uganda, ‘The Cranes’ ifanyike Dar es Salaam Septemba 30, mwaka huu imefuta mechi ya Simba na Yanga...
Mrope, Mwamtobe watemwa U/20    Chalenji ya Vijana [Dina Zubeiry]
spc
BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania ya Vijana wenye umri chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ limewatimua wachezaji Julius Mrope na David Mwantobe kutokana na utovu wa nidhamu...
Njenje warejea, kuwasha moto Ambassador    [Khadija Kalili]
spc
BENDI ya muziki wa dansi ya The Kilimanjaro ‘Wana Njenje’, imerejea kutoka Norway mapema wiki hii na leo inatarajiwa kutumbuiza kwenye Ukumbi wake wa nyumbani wa Hoteli ya Ambassador Plaza ‘Njenje Plaza’ (zamani Gogo Hoteli), jijini Dar es Salaam...
Wa Redd’s Poland wajulikana    Miss World [Dina Zubeiry]
spc
WANYWAJI watatu wa Redd’s wamebahatika kwenda Poland kumshangilia mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Miss World, Wema Sepetu, linalotarajiwa kufanyika Septemba 30, mwaka huu...
Mbwana ulingoni na Mzimbabwe    [Khadija Kalili]
spc
BONDIA Mbwana Matumla wa Tanzania leo anatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa na Alfonso Zyenyika wa Zimbabwe katika pambano la kimataifa la kuwania tiketi ya ubingwa wa Super Fly...
Troussier aenguliwa    [Mwandishi Wetu]
spc
KOCHA Mkongwe wa Ufaransa, Philippe Troussier ‘Mchawi Mweupe’, ameenguliwa katika mbio za kuwania nafasi ya kuinoa timu ya soka ya Ghana ambayo kwa sasa inasaka kocha...
juu
sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2006 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234