logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumapili, 11 Novemba 2007
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
tp.spc


K’Stars kukipiga na Zambia Nov 21


na Makuburi Ally


TIMU ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, Novemba 21 itaikaribisha Zambia ‘Chipolopolo’ katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayopigwa kwenye Uwanja wa zamani wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Mechi hiyo iliyopo katika kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kwa mujibu wa kalenda hiyo, inapaswa kuchezwa kati ya Novemba 17 na 21, mwaka huu.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Frederick Mwakalebela, alisema jana ya kuwa, Chipolopolo ni miongoni mwa timu walizoomba kucheza nazo mechi za kirafiki za kimataifa.

Alisema, Chipolopolo inakuja nchini kwa gharama za TFF kwani licha ya kuwa tayari kuja, hawakuwa na fedha, hivyo TFF itatumia jumla ya sh mil 30 kwa ajili ya chakula, malazi, usafiri wa ndani na gharama nyinginezo.

Msafara wa timu hiyo utajumuisha wachezaji 20, viongozi watano ambao watawasili Novemba 20 huku viingilio vikiwa ni sh 25,000 kwa viti maalum, Jukwaa Kuu sh 15,000, Kijani sh 8,000 na Mzunguko sh 3,000.


h.sep

juu sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2007 © FreeMedia Ltd.
Free media limited
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, jengo la Bilicanas, gorofa ya kwanza, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2126233  •  faksi +255-22-2126234  •  Selula  0713 296570