logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumatano, 20 Juni 2007
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
tp.spc


Ahoji ‘mabilioni ya JK’ kwa Z’bar
MBUNGE JIMBO LA GANDO


na Kulwa Karedia na Rachel Chizoza, Dodoma


MBUNGE wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), jana aliiohoji serikali na kutaka kupata maelezo kuhusu mpango wa kuigawia Zanzibar, fedha za kuwawezesha wajasirimali.

Akiuliza swali bungeni jana, Khalifa alitaka kujua ahadi iliyokuwa imetolewa na serikali kuwa, Zanzibar nayo itahusishwa na mpango wa ‘Mabilioni ya JK’, imefikia wapi.

Katika maelezo yake, serikali ilisema kuwa ipo hatua za mwisho za kupeleka sh milioni 200 kwa kila Mkoa wa Zanzibar.

Naibu Waziri wa Fedha, Abdisalaam Issa Khatib alisema serikali hivi sasa iko katika zoezi la kukamilisha utaratibu kwa ajili ya kuanza awamu ya pili ya mpango huo, ambayo itajumuisha pia Zanzibar.

Alisema maandalizi ya kuiingiza Zanzibar katika mpango huo, ni pamoja na kukubaliana kuhusu benki itakayotoa mikopo hiyo, utaratibu wa usimamizi na utaratibu wa mpango huo kama ilivyo kwa Tanzania Bara.

Khatib alisema kuwa katika bajeti yake ya mwaka 2007/08 na katika mwaka 2006/07, serikali ilianzisha awamu ya kwanza ya mpango maalumu wa kuwawezesha wananchi kupata mikopo ya masharti nafuu kupitia benki za CRDB na NMB kwa kudhaminiwa na serikali.

Alisema kuwa mpango huo ulianza Aprili 2007 baada ya kukamilika kwa taratibu husika, awamu hiyo bado inaendelea.


h.sep

juu sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2007 © FreeMedia Ltd.
Free media limited
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, jengo la Billicanas, gorofa ya kwanza, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2126233  •  faksi +255-22-2126234  •  Selula  0713 296570