logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumatatu, 28 Januari 2008
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
tp.spc


Mabondia Tz wachemsha Algeria


na Eugenia Kimolo


TANZANIA imetoka kapa Algeria kwenye mashindano ya ndondi za ridhaa kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya Olimpiki inayofanyika Algiers, Algeria.

Bondia pekee aliyebeba matumaini ya Tanzania, Hashim Simon naye alipondwa na Ramadhani Elwa wa Misri kwa pointi 24-2, habari hizo ni kwa mujibu wa Rais wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (BFT), Shabani Mintanga.

Bondia huyo aliyecheza ndondi hizo kwa uzani wa Light Welter, alitolewa katika hatua ya robo fainali katika mashindano hayo ambayo kwa wanamichezo wanaofanya vema watashiriki katika mshindano ya Olimpiki yatakayofanyika Agosti, mwaka huu.

Kuondolewa huko kwa Simon kunafanya aungane na Watanzania wenzake akiwamo nahodha, Emillian Patrick (Bantum) na Leonard Machichi (Middle) waliotolewa mapema wiki iliyopita.


h.sep

juu sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free media limited
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, jengo la Bilicanas, gorofa ya kwanza, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2126233  •  faksi +255-22-2126234  •  Selula  0713 296570