logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumamosi, 29 Machi 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Watoto wamtapeli Mama Rwakatare [Irene Mark]
spc
KATIKA hali isiyotarajiwa, watoto waliojulikana kwa jina moja moja la Yusufu na Ramadhani, wamelidanganya Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God linaloongozwa na Mchungaji Dk. Gertrude Rwakatare, baada ya kujifanya kuwa wamedondoka kutoka angani walikokuwa wakiwanga...
  SMZ yaigomea EWURA [Waandishi Wetu]
spc
  Wabunge wataka ofisi za kisasa [Salehe Mohamed]
spc
  37 wahojiwa bomoabomoa Tabata [Irene Mark]
spc
  Polisi waibana serikali [Richard Mwangulube]
spc
  Kashfa ya Richmond yaivuruga CCM Iringa [George Maziku]
spc
 
Tahariri    Wakazi Dar wametapeliwa?
spc
MSIMU wa mvua za masika umeanza katika maeneo mbalimbali nchini, na tayari kuanza kwake kumesababisha maafa katika Jiji la Dar es Salaam na pengine katika maeneo mengine nchini. Mvua iliyonyesha Jumatano iliyopita kwa muda wa takriban saa sita hivi, imesababisha vifo vya watu watano huku madhara mengine makubwa yakitokea...
Mtazamo wangu Huu ni unyanyasaji kwa yatima  [Julieth Mkireri]
spc
KWA akili na moyo wangu uliojaa upendo ndani ya jamii, siwezi kuwasifia wanaorudisha nyuma maendeleo ya watoto, hasa yatima ambao wanategemea msaada kwa yeyote atakayejitokeza...
  Mvua ilivyotikisa jiji la Dar es Salaam  [Mkolo Kimenya]
  Mateso ya mama wa kambo  [Hellen Ngoromera]
spc
  Hofu ni muuaji namba moja  [Marwa Magori]
spc
juu
Mkulo: Ndullu kafanya maajabu BoT [Mwandishi Wetu]
spc
SERIKALI imesema kuimarika kwa shilingi dhidi ya dola na kushuka kwa mfumuko wa bei, vimetokana na uongozi mpya wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na sera zilizowekwa na Gavana mpya Profesa Beno Ndullu....
  Ushahidi wa mwisho kesi ya Mtikila Aprili 14 [Asha Bani]
spc
  Upelelezi kesi ya Kubenea wakamilika [Asha Bani]
spc
  Wananchi kuandamana kumpinga mkandarasi [Daniel Misheto]
spc
juu
CCM yashtushwa na wingi wa wanahabari    Musoma [Edward Ibabila]
spc
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshtushwa na wingi wa waandishi wa habari waliofika mkoani hapa kwa lengo la kuandika habari za kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho kinachoanza leo kijijini Butiama....
  Ifakara kuajiri wataalamu 30 wa TB    Kilombero [Joseph Malembeka]
spc
  Mgogoro wa shamba Hanang’ wamalizika    Arusha [Ramadhani Siwayombe]
spc
  CCM Moshi kuburuzwa kortini    [Grace Macha]
spc
juu
Uhamiaji kuwafuatilia wanamuziki wa kigeni [Dina Zubeiry]
spc
IDARA ya Uhamiaji Tanzania, imeanza kufuatilia uhalali wa vibali vya kuwawezesha kufanya kazi, wanenguaji na wanamuziki wa bendi mbalimbali hapa nchini....
juu
Stars, Harambee vitani leo      [Mwandishi Wetu]
spc
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inatupa karata ya kwanza dhidi ya Harambee ya Kenya katika kuwania tiketi ya kucheza fainali mpya za Mataifa ya Afrika zitakazopigwa mwakani nchini Ivory Coast....
  Niko tayari kurejea TFF - Rage      [Khadija Kalili]
spc
 Tergat aja kuwapiga msasa wanariadha     [Shabani Mpalule]
spc
  CHANETA kuwaleta wakufunzi wa kimataifa      [Makuburi Ally]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234