|
|
Habari mpya motomoto! |
 |
|
|
 |
| Habari zote na Irene Mark na Rahel Chizoza, Dodoma |
|
|
 |
|
Tahariri
Tunalipeleka wapi taifa? |
 |
 |
|
HII ni wiki ngumu kwa Watanzania wapenda demokrasia, wabunge, wananchi wa Mkoa wa Mara, Tarime, wana CHADEMA, ndugu, jamaa na marafiki wa Mbunge wa Tarime, Chacha Zakayo Wangwe aliyefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Jumatatu usiku katika Kijiji cha Pandambili, wilayani Kongwa kilomita 120 kutoka Dodoma mjini... |
|
Uswahilina unahitajika kuokoa maisha THI? [Christopher Nyenyembe] |
 |
 |
|
WAZIRI wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Musa Hassan na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Ramadhan Dau wasomi wazalendo na wacha Mungu mnaoheshimika, bado wananchi wanawalilia ... |
 |
juu  |
|
 |
|
 |
|
|
 |