logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumatatu, 22 septemba 2008
Yaliyopita
rss feeds
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Mgonja: Niacheni na ufisadi wangu [Edward Kinabo]
spc
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeadhimisha mwaka mmoja, tangu kitangaze orodha ya majina ya vigogo 11 wanaotuhumiwa kwa ufisadi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Gray Mgonja, mmoja wa watu waliotajwa katika orodha hiyo, amewataka waandishi wa habari wamwache na ufisadi wake...
  Askari kulipua siri ya uchaguzi Z’bar [Mwandishi Wetu]
spc
  Mgomo NMB leo [Ester Mbussi]
spc
  Mbunge afuta ziara akihofia kuzomewa [Shangwe Thani]
spc
  Daraja la Umoja kukamilika mwakani [Mwandishi Wetu]
spc
  Wazee EAC wambana Waziri [Deogratius Temba]
spc
  ‘Wapinzani wataipa ushindi CCM Tarime’ [Mwandishi Wetu]
spc
 
Tahariri    Tunaunga mkono kauli ya Waziri Mkuchika
spc
WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Huruma Mkuchika, jana alitoa kauli ambayo kwa hakika, inapaswa kuungwa mkono na kila mdau wa michezo na ustawi wa jamii kwa ujumla. Akifunga maadhimisho ya Siku ya Michezo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine, Mkuchika amewaonya wenye ulafi wa kuuza na kununua maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa shughuli za kijamii ikiwamo kuchezea watoto....
Mambo yanayopaswa kufanywa na Simba SC  [Mwina Kaduguda]
spc
ALAMA za nyakati ambazo kwa bahati mbaya wengi wameshindwa kuzisoma, zinanionyesha kuwa huu ni wakati muafaka kukushauri au kukumbusha mambo muhimu yanayohusu maendeleo ya klabu ya Simba. Baada ya hatua iliyochukuliwa na uongozi wa Simba S.C kwa shinikizo lako, ya kunisimamisha pasipo kufuata taratibu, niliamua kukaa kimya....
  Kama tunataka kucheza Kombe la Dunia  [Kadatta K. Kadatta]
  Red card ya Terry England na somo kwa soka ya Tanzania  [Ambrose Jimmy]
spc
  Robert Mabula Kutana na mfukuza upepo  [Makuburi Ally]
spc
  Nachonga Hakika Kapteni Mkuchika umethubutu  [Tullo Chambo ]
spc
juu
Waandishi watakiwa kupiga vita mauaji ya albino [Mkolo Kimenya]
spc
WAANDISHI wa vitabu wametakiwa kushirikiana na serikali kuwaelimisha wananchi katika kupiga vita mauaji ya albino ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina....
  ‘Mwanamke wa Kiislamu ana nafasi sawa na wanaume’ [Nasra Abdallah]
spc
  TAMWA yatangaza bingo kwa wanafunzi [Mwandishi Wetu]
spc
  Kituo Kijitonyama chatibu kwa mimea [Joseph Zablon]
spc
juu
NEC yasitisha uchaguzi Mtombozi    Morogoro [Joseph Malembeka]
spc
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesitisha uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Mtombozi, Morogoro Vijijini. Kusitishwa kwa uchaguzi huo kunatokana na pingamizi la Chama cha United Democratic (UDP) kudai kuhujumiwa na wasimamizi wa uchaguzi huo wakishirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
  Waliowashambulia maofisa TANAPA kortini leo    Arusha [R. Siwayombe]
spc
  Walalamikiwa kuchafua maji Mto Mara    Tarime [Chris Mang’era]
spc
juu
Mkuchika alilia maeneo ya wazi      [Tullo Chambo]
spc
SERIKALI imeonya tabia ulafi wa kuuza na kugawa maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa ajili ya shughuli za michezo na mapumziko kwani inadidimiza maendeleo ya michezo Tanzania....
  Yanga mwendo mdundo 2008/9      [Ruhazi Ruhazi]
spc
 Kaduguda arejeshwa Simba SC     [Makuburi Ally]
spc
  Vodacom yaanika chipukizi 40      [Dina Ismail]
spc
  Matumla kupromoti watoto wake      [Asha Bani]
spc
  TFF onyesheni ushirikiano soka la wanawake; Gwaje      [Wilbert Molandi]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234