|
|
Habari mpya motomoto! |
 |
|
|
 |
|
TZ yashauriwa kujifunza kuhifadhi kumbukumbu
HO CHI MINH, Vietnam |
 |
 |
|
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa, amesema Tanzania ina haja ya kujifunza kutoka Vietnam, hasa katika suala la kutunza kumbukumbu za matukio ya kitaifa yanayohusu kina mama... |
|
‘Dawa za kienyeji kiboko ya UKIMWI’
JOHANNESBURG, Afrika Kusini |
 |
 |
|
WAZIRI wa Afya wa hapa mwenye utata, Manto Tshabalala-Msimang, amejibu mapigo dhidi ya shutuma zinazomwandama kuhusiana na jinsi anavyoyachukulia mapambano ya ugonjwa wa UKIMWI kwa kusema kwamba dawa za kienyeji ndizo zenyewe katika kupambana na ugonjwa huo... |
|
Kabila ashindwa kudhibiti bunge DRC
KINSHASA, DR Congo |
 |
 |
|
MUUNGANO wa vyama unaoongozwa na Rais Joseph Kabila, umeshinda kwa kishindo uchaguzi wa wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini ulishindwa kupata viti vingi vinavyohitajika kuunda serikali... |
| Wanawake kupigwa marufuku kuhiji Mecca?
JIDDAH, Saudi Arabia |
 |
 |
|
MAOFISA wa hapa wanafikiria kuwasilisha muswada unaokataza wanawake kutimiza moja ya nguzo ya tano ya Uislamu ya kuhiji katika jumba takatifu zaidi lililopo Mecca... |
juu 
 |
|
 |
|
|
 |
|
Ujenzi wa sekondari wakwama
ruvuma
[Albano Midelo] |
 |
 |
|
MRADI wa ujenzi wa Sekondari ya Kata ya Mahanje, wilayani Songea Vijijini, Ruvuma umechelewa kuanza baada ya kukosa mahali pa ujenzi panapokubalika na vijiji vitatu vya Lutukira, Mkongotema na Magingo... |
|
Watendaji wapigwa stop kutoa vibali kwa wafugaji
dom
[Jamal Zuberi] |
 |
 |
|
WAZIRI
Mkuu, Edward Lowassa, amewataka abiria wote nchini kususia magari
yanayojaza kupindukia, na yanayoendeshwa kwa kasi ya kutisha.
Amesema abiria wasikubali kuendeshwa na jaziba za makondakta
na madereva, badala yake wawadhibiti au wasusie magari yao... |
|
Waajiri watakiwa kuheshimu mikataba ya kazi
kigoma
[Anthony Kayanda] |
 |
 |
|
WAAJIRI nchini wametakiwa kuheshimu mikataba ya hiari ya kazi ili haki iweze kutendeka kwa pande zote zinazohusika, ikiwa ni katika kutekeleza jitihada za serikali za kuondoa migogoro na kuongeza tija kazini... |
|
TUICO kuwapiga msasa wanachama wake
moro
[Riziki Mwakyoma] |
 |
 |
|
CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha na Huduma za Ushauri nchini (TUICO), kimeanza mikakati ya kuwapiga msasa viongozi na wanachama wake kote nchini kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya sheria za kazi zinazotarajiwa kuanza kutumika hivi karibuni... |
|
Magari 25 yakamatwa
Dodoma
[Martha Mtangoo] |
 |
 |
|
POLISI mkoani Dodoma imeendesha msako na kuyakamata magari 25 yakiwamo ya abiria ambayo yanaendeshwa kinyume cha taratibu za usafirishaji... |
juu 
 |
|
 |
|
Tahariri
Lipumba amedhamiria nini? |
 |
 |
|
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimempa muda maalumu, Rais Jakaya Kikwete, kumaliza mpasuko wa kisiasa Zanzibar. Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, jana alinukuliwa akisema Rais Kikwete amepewa hadi mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, awe ametoa jawabu la matatizo ya kisiasa visiwani humo... |
|
Mawaziri wa JK waandika historia [Ndimara Tegambwage] |
 |
 |
|
HISTORIA ya siasa za Tanzania inaanza kuandikwa upya. Waandishi wachanga ni Dk. Juma Ngasongwa na Celina Kombani. Hawa ni wabunge. Vilevile ni mawaziri. Somo kuu katika historia hii ni wananchi wa Ipanko katika Wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro. Vipengele katika somo hilo ni madini na kampuni ya Interstate... |
|
Si uadilifu kuchanganya dini na siasa katika dola mseto [Deusdedit Jovin] |
 |
 |
|
Wizara
ya Afya imesema tatizo la ugonjwa wa akili lipo zaidi mijini
kutokana na watu wengi, hasa vijana kupata na kkutumia
madawa ya kulevya. Naibu Waziri wa Afya, Dr. Hussein Mwinyi,
jana alililambia Bunge kuwa pamoja na mihadharati... |
|
AMINA CHIFUPA: Mbunge mdogo, mambo makubwa [Martha Mtangoo] |
 |
 |
|
WENGI walimdharau na kumbeza wakati alipokuwa akiomba nafasi ya uwakilishi bungeni kwa tiketi ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kwa madai kuwa hana uwezo. Walimdharau pia kwa madai eti hakusoma na hawezi kuwa mwakilishi wa vijana... |
|
Kauli Yangu
Umeme Jumapili kwa faida gani? [Manyerere Jackton] |
 |
 |
|
TAIFA letu linakabiliwa na mgawo wa umeme. Athari zake zimeanza kuonekana. Kukosekana kwa nishati hiyo kunaathiri uchumi na kuvuruga malengo mazuri ya kuujenga. Kwa kiasi kidogo kinachozalishwa sasa, tunapaswa kukitumia kwa busara zaidi ili tuzalishe zaidi... |
|
Nasikitika
Watawala dhaifu wametufanya mateka wa giza [Kanku Gambile] |
 |
 |
NASIKITIKA kwamba Tanzania inakuwa nchi ya giza. Ndani ya nchi ya giza kuna taifa la giza. Katika taifa la giza kutakuwa na mateka wa giza. Nchi ya giza, taifa lililokumbwa na giza na mateka wa giza, wote ni mahabusu katika giza nene ambamo ama wamebakia kulalama, kupiga ramli au kuishi kwa matumaini ya kukombolewa na wengine... |
|
MJUMITA yapania kuleta mabadiliko katika mtandao wao [Hagulwa Msusu] |
 |
 |
MWITIKIO wa asasi za kiraia katika kuboresha maisha ya Watanzania kwa kupambana na umaskini kupitia rasilimali mbalimbali zilizopo hapa nchini umeshika kasi... |
|
Mapanki yetu Dar ni vichwa, miguu ya kuku [Mwandishi Maalum ] |
 |
 |
KWA wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam, hasa wenye kipato cha chini ambao ndio wengi, utumbo, miguu, vichwa vya kuku na utumbo wa ng’ombe ndilo tegemeo lao kubwa kwa kitoweo chao cha kila siku... |
|
Sitaki
CCM ina njama chafu na muungano wa wapinzani [Nikita Naikata] |
 |
 |
SITAKI Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa afanyie kazi yake gizani. Sitaki aishauri serikali kufanyia kazi zake gizani kama “wachawi.” Wiki hii amesema kwamba tayari serikali imeandaa muswada wa sheria utakaoruhusu vyama vya siasa kuungana na kusimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi... |
|
Sitanii
Tunaweza kuushinda umaskini [Deudatus Balile] |
 |
 |
LEO nimelazimika kuandika mada hii ya umaskini. Umaskini ni hali ya mtu kupungukiwa kipato. Kwa maelezo ya kawaida mtaani wanasema mwananchi kutokuwa na uhakika wa mlo kamili. Hali hii inajitokeza kutokana na wananchi kuwa na umaskini wa kipato... |
|
Tusemezane
Vema Mheshimiwa Msabaha ajiuzulu [Mutekanga Isidory] |
 |
 |
NILIPOMSIKIA Waziri wa Nishati na Madini, Ibrahim Msabaha, akitangaza kwamba umeme utakatwa kwa siku tano, mwanzoni nilidhani sikumsikia vizuri. Baadaye nilisoma habari hizo magazetini, nikaamini ni ukweli. Zilikuwa ni siku tatu, umeme unazimwa tangu asubuhi na kurudishwa jioni, na ilikuwa kero ya kutosha... |
|
Waraka kutoka Canada
Turuhusu udini ututenganishe? [Jeff Msangi] |
 |
 |
Mojawapo ya mambo ambayo sisi kama Watanzania, hususan tunapokuwa nje ya nchi, hatuishi kujivunia ni suala la kutobaguana kwa kutumia dini wala kabila. Ilifikia mahali ikawa kama ni kosa la jinai kumuuliza mwenzako ni kabila gani au dini gani. Udini na ukabila si misingi ya taifa letu. Utanzania tuliuweka mbele zaidi... |
|
Wazo jepesi
Tunapalilia uchuuzi wa takataka kutoka ughaibuni [J. Ngowi] |
 |
 |
|
NINANYANYUA moyo wangu kwa shukrani, nikimshukukuru Rabuka kwa kuniwezesha tena kupata pumzi na nguvu ya kuwasilisha mawazo yangu yaliyo mepesi mno. Ni wiki nyingine ambayo tumeshuhudia mchuano mkubwa wa kuporomoka kwa shilingi dhidi ya dola ya Marekani... |
juu 
 |
|
 |
|
Muhtasari wa Makala Fupifupi
Asili ya Muziki
[Innocent Nganyagwa] |
 |
 |
|
Leo tunaangaza na kukumbushana japo kwa ufupi tu, safari yetu ya makala fupi fupi tunayoihitimisha. Kwa kawaida kila tunapomaliza hatua moja kwenda nyingine huwa nakukumbusha tulikotokea na tunakoelekea ili tuwe pamoja sambamba katika ufuatiliaji bila kupotezana...
|
| Simba ilivyokata uteja Yanga 1990
enzi hizo
[Mahiza R. Mahiza]
|
 |
 |
|
Yanga wanaumia kuona hawana jeuri mbele ya watani wao wa jadi, lakini kwa mtazamo wao na jinsi rekodi ya timu hizo ilivyo, ni kawaida kwao kuwa na msimu wa kumtambia mwenzake... |
|
Simba, Yanga vitani
Ligi Kuu
[Deodatus Mkuchu] |
 |
 |
|
TIMU za Simba na Yanga, leo zinaingia katika vita ya kusaka pointi tatu muhimu katika mechi zao tofauti za Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayodhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom...
|
| Ligi ya vijana Ilala kuanza leo
[Joe Lwakatare] |
 |
 |
|
LIGI ya soka ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, inatarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam... |
| Chelsea safi, Arsenal yabanwa
[Mwandishi
Wetu] |
 |
 |
|
LICHA ya kukosa penalti moja, timu ya soka ya Chelsea, jana ilivuna pointi tatu muhimu baada ya kuibamiza Charlton Athletic mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika Uwanja wa Stamford Bridge... |
|
juu 
 |
|
|