logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumanne, 12 septemba 2006
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
tp.spc

Kili RBA; vigogo vyapeta


na Tullo Chambo

TIMU kongwe katika Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (Kili RBA), zimeonyesha kutamba katika michezo ya awali ya ligi hiyo iliyozinduliwa rasmi Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

Katika mchezo uliofanyika juzi kwenye uwanja huo, mabingwa watetezi JKT iliwatoa nishai Tanzania Prisons kwa kuwazamisha pointi 83-49 huku wakongwe wengine wa ligi hiyo, Vijana ‘City Bulls’ ikiwatoa nishai Chui kwa ushindi wa pointi 91-47.

Katika michezo mingine, wakongwe waliorejea kwenye ligi hiyo baada ya mwaka jana kushiriki Ligi Daraja la Pili ya Dream Cup, Chang’ombe Boyz, iliibuka na ushindi mbele ya wakali wengine wa ligi hiyo, Savio ‘Watoto wa Baba Paroko’ huku Oilers nayo ikiitoa nishai Jogoo kwa pointi 64-34 huku mkongwe UDSM Outsiders ikitolewa nishai na Chui kwa pointi 43-30.

Wakongwe wengine wa ligi hiyo waliong’aa katika michezo iliyofanyika jana ni Chang’ombe walioipeleka puta Jogoo na kuibuka na ushindi wa pointi 59-27 huku Pazi ikiwabugiza TM Mkwawa pointi 88-48.

Mchezo wa mwisho uliokuwa upigwe kati ya Chang’ombe Boyz na TM Rocket umeahirishwa hadi Jumamosi ijayo

 


h.sep

juu sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2006 © FreeMedia Ltd.
Free media limited
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234