logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumatatu, 25 septemba 2006
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Jangwani imeuzwa [Asha Bani]
spc
SIRI ya bomoa bomoa Jangwani, Dar es Salaam, hatimaye imefahamika, baada ya kuwapo habari kwamba sehemu ya eneo hilo maarufu, imeuzwa kwa matajiri wanne. Habari zilizopatikana mwishoni mwa wiki zilisema eneo hilo limeuzwa tangu mwaka 2004...
Jengo la NEC Z’bar lauzwa [Mwandishi Wetu]
spc
JENGO lililokuwa likitumika kama Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Zanzibar, limeuzwa kinyemela na kugeuzwa ghala la kuhifadhia saruji...
Makao ya wilaya yaigawa Rorya [Mwandishi Wetu]
spc
KUNDI la matajiri wafanyabiashara, linadaiwa kuwahonga madiwani kadhaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, na kuupigia kura mji wa Utegi kuwa makao makuu ya wilaya mpya ya Rorya inayotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni...
Kitillya anayajua haya? [David Frank]
spc
MAOFISA wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wanaendesha kampuni za forodha katika mpaka wa Namanga, mkoani Arusha, imeelezwa...
juu
spc
Waliobomolewa Jangwani watoboa siri [Asha Bani]
spc
WANANCHI waliobomolewa nyumba zao eneo la Jangwani, kwa madai kuwa eneo hilo si bora kwa makazi yao, wametoboa siri ya kubomolewa nyumba zao...
Bakuli la Shibuda lanasa mil. 323.9/- [Asha Bani]
spc
MBUNGE wa Maswa, John Shibuda, amepata sh milioni 323.9 kutoka kwa wahisani mbalimbali kwa lengo la kutekeleza mradi wa maji katika jimbo lake...
Vodacom yapata milionea wa kwanza [Joseph Senga]
spc
MSHINDI wa kwanza wa shindano la Voda Milionea ngazi ya pili, ambalo limeandaliwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, amepatikana...
Viongozi wa dini waaswa [Nasra Abdallah]
spc
VIONGOZI wa dini wametakiwa kutotumia mikutano ya dini kuzikashifu dini nyingine. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro, aliyasema hayo jana kwenye hafla ya kuwasimika viongozi wapya wa kitaifa wa Kanisa Huru la Kipentekoste (FPCT)...
Mbunge awataka vijana kuacha mauaji ya vikongwe [Asha Bani]
spc
MBUNGE wa Maswa, John Shibuda, amewataka vijana kuacha mara moja tabia ya kuua vikongwe kwa imani kuwa ni wachawi...
juu
spc
Mgogoro NHC Arusha wapamba moto    Arusha [David Frank]
spc
MGOGORO wa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoani Arusha, umechukua sura mpya baada ya kubainika kuwa utaratibu wa upangaji katika jengo maarufu la Hima Investment, ulivurugwa na ofisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ambaye hivi sasa amehamishiwa Dar es Salaam...
Madiwani Moro watishia kugoma    Morogoro [Lina Luka]
spc
MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, walitishia kugomea kikao cha Baraza la Madiwani katika manispaa hiyo kutokana na kuletewa ajenda mbili badala ya nne kama ilivyopangwa...
TAFFA wamwangukia Kitilya    Arusha [David Frank]
spc
CHAMA cha Mawakala wa Forodha katika mpaka wa Namanga wa Tanzania na Kenya (TAFFA), kimemuomba Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya kutoa ufafanuzi juu ya maofisa wawili wa TRA ambao wamekuwa wakiendesha kampuni za forodha hali ya kuwa ni wadhibiti katika mpaka huo...
Walimu marufuku kuhimiza kondomu shuleni    Arusha [R.i Siwayombe]
spc
SHULE ya Msingi Maromboso, inayomilikiwa na Kanisa la Baptisti Tanzania, imepiga marufuku walimu wa shule hiyo kufundisha wanafunzi juu ya matumizi ya kondomu au kuwa na mpenzi mmoja katika vipindi vya masomo...
Kijiji chaporwa ng’ombe 138    Tarime [Mwandishi Wetu]
spc
NG’OMBE 68 na mbuzi 42, mali ya baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Kegonga wilayani Tarime, mkoani Mara, wamedaiwa kuporwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wenye bunduki kutoka Wilaya ya Trans Mara nchini Kenya...
Wajawazito 478 wana HIV Morogoro    [Lina Luka]
spc
WAJAWAZITO 478 wamegundulika kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa UKIMWI kati ya 6,278 waliopimwa katika kipindi cha Januari hadi Juni, mwaka huu katika Hospitali Kuu ya Mkoa wa Morogoro...
Daktari kizimbani akidaiwa kuua    Singida [Jumbe Ismailly]
spc
MFANYAKAZI mmoja wa Kituo cha Afya Tumaini cha Halmashauri ya Manispaa ya Singida, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, akikabiliwa na mashitaka ya mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Kintandaa, Wilaya ya Singida Vijijini...
Miaka 30 jela kwa kumbaka mpwawe    Singida [Jumbe Ismailly]
spc
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mjini Singida, imemuhukumu mkazi wa Mwasauya, mkoani hapa, Juma Sakilu (46), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumbaka mtoto wa dada yake mwenye umri wa miaka 19...
juu
spc
Tahariri    Jamal Malinzi umenena
spc
Kuna habari katika kifungu cha Michezo inayomzungumzia bosi wa zamani wa Yanga, Jamal Malinzi. Malinzi aliyewahi kuwa mmoja wa wakurugenzi wa Yanga kisha baadaye kuwa katibu mkuu, ametoa somo kwa wadau wa Yanga kwamba wasirogwe kumkorofisha mdhamini wa klabu hiyo kwa sasa, Yussuf Manji...
Unyonyaji duni unaolalamikiwa na wasanii  [Cosato Chumi]
spc
WIKI iliyopita nilisoma makala mbili za waandishi, Ibrahim Hassan au Ibra Poza, yenye kichwa cha habari: ‘Ndiyo kusema Ngwair tunampoteza jumlajumla’ iliyotoka kwenye gazeti la ‘Lete Raha’, toleo la Julai 30 hadi Agosti 5, mwaka huu...
Buriani Rashid Hanzuruni  [Ruhazi Ruhazi]
spc
ALHAMISI ya Septemba 21, wapenzi na mashabiki wa michezo hususan soka, walipatwa na simanzi kubwa kwa kifo cha mchezaji wa zamani, Rashid Hanzuruni, aliyefariki dunia jioni ya siku hiyo...
Mtazamo Utaifa katika michezo uonyeshwe kwa vitendo  [T. Chambo]
spc
HIVI sasa Watanzania tuko kwenye kipindi cha kuonyesha kuwa ni wamoja na tunachojali ni utaifa mbele, halafu matamanio mengine baadaye. Hiyo ni dhana ambayo nadhani kila Mtanzania hivi sasa anayo katika kuhitaji maendeleo na mfanikio katika michezo, kile anachokihitaji bila kujali itikadi yake kisiasa, kiuchumi, kidini, kikabila na kadhalika...
juu
spc
Lowassa achangia mamilioni Dar    [Dina Zubeiry]
spc
WAZIRI Mkuu, Edward Ngoyai Lowassa, juzi aliwateka wadau wa michezo, hususani soka waliojitokeza kuchangia ujenzi wa shule ya sekondari ya michezo iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam baada ya kuchangia sh mil. 60 kati ya sh 88,340,000 zilizopatikana...
Ngorongoro yarejea    [Mwandishi Wetu]
spc
KOCHA Msaidizi wa timu ya taifa ya vijana wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, Sylvestre Marsh amesema, kikosi cha timu hiyo ndicho kilichobeba matumaini ya soka la Tanzania kwa siku za usoni...
Malinzi anguruma Yanga    [Deodatus Mkuchu]
spc
KATIBU Mkuu wa zamani wa klabu ya Yanga, Jamal Malinzi, amesema kama wanachama wa klabu hiyo watashindwa kutulia na kuuheshimu mchango wa mdhamini wa klabu hiyo, Yussuf Manji, watajuta...
Yanga yapewa somo    [Ruhazi Ruhazi ]
spc
BAADA ya Mkurugenzi wa Kampuni ya Gaming Management Limited, Yussuf Manji kufanikiwa kumaliza msuguano uliokuwa unaota mizizi kati ya makundi ya wanachama ndani ya Yanga, mkurugenzi huyo sasa ameshauriwa kusimamia suala la kufuta kesi za baadhi ya wanachama zilizopo mahakamani...
Ikulu kinara 2006    SHIMIWI [Makuburi Ally na Anna Makange]
spc
OFISI ya Rais Ikulu, juzi walitawazwa rasmi kuwa mabingwa wa jumla wa michezo saba kwenye mashindano ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) na kukabidhiwa kombe na Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo aliyekuwa mgeni rasmi...
Wema ana nafasi – Taasisi    Miss World [Mwandishi Wetu]
spc
MKURUGENZI wa Chama cha Wasamaria Wema Mwanza, Moshi ‘Moschye’ Constantine, amesema kwamba ana imani kwamba mrembo wa Tanzania, Wema Sepetu, atafanikiwa mwishoni mwa shindano hilo...
juu
sp.b
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2006 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234