logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumamosi, 10 Novemba 2007
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
JK atakiwa kuomba radhi [Agnes Mlundachuma]
spc
SUALA la uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini linazidi kupanuka, na kwa mara ya kwanza tangu mjadala huo uanze, jina la Rais Jakaya Kikwete limeanza kuingizwa katika mzozo huo. Rais Kikwete ametajwa katika sakata hilo pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema...
  Uchaguzi CCM waibua mambo [Waandishi Wetu]
spc
  Madaktari MOI wabanwa [Lucy Ngowi]
spc
  TPC kwaanza kufukuta tena [Mwandishi Wetu]
spc
  Uwekaji alama mafuta ya taa mwakani [Prisca Nsemwa]
spc
 
Tahariri    Serikali ijizatiti kuwalinda Watanzania katika ajira
spc
KWA mara nyingine tena, Rais Jakaya Kikwete amesisitiza msimamo wake wa kila mara, unaotaka wawekezaji nchini wawafikirie Watanzania kwanza katika ajira na mishahara kabla ya kufanya hivyo kwa wageni. Rais Kikwete alitoa wito huo juzi wakati akitembelea kiwanda cha East Coast kinachozalisha mafuta kilichopo katika eneo la ZamCargo, Dar es Salaam...
Ukweli kuhusu wasichana wa kazi za nyumbani  [Nasra Abdallah]
spc
WIKI hii katika viwanja vya Klabu ya Leaders, Dar es Salaam, Shirika la Utu Mwanamke, kwa kishihirikiana na Mtandao wa Jinsia Tanzania, waliendesha jukwaa la wazi juu ya maisha ya wanawake na wasichana. Mada kuu tatu zilijadiliwa katika jukwaa hilo lililochukua siku tatu, ikiwamo vifo vinavyosababishwa na uzazi na ulemavu, watumishi wa majumbani na ukatili wa kijinsia majumbani...
  Simo! Mzee wa kujitoa anapokamata madaraka  [Mzee wa Kujitoa]
  Mtazamo wangu Kingunge usingoje kurushiwa mawe  [Salim Said Salim]
spc
  Wanaowapa mimba wanafunzi wafanywe nini?  [Innocent Mallya]
spc
  Polisi hana haki ya kumpiga mtuhumiwa!  [Mohamed Majaliwa]
spc
  Tutafakari Nguvu ya kujifunza, nguvu ya kupenda  [Baltasar Mwema]
spc
  Wasukuma; Mtemi hurithishwa tunguli za utawala  [Innocent Nganyagwa]
spc
  Malack Changa Kiswahili kitumike kufundishia mashuleni  [Lucy Ngowi]
spc
juu
Habari zote na Irene Mark na Rachel Chizoza, Dodoma
Wangwe ‘awakuna’ wabunge wa CCM  Mbunge  Tarime
spc
WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana walimshangilia Mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe (Chadema), baada ya kuipongeza serikali kwa kufikisha umeme kwenye jimbo lake. Wangwe maarufu kwa jina la mzee wa ‘Message Sent’, alisimama na kuipongeza serikali baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kujibu swali ...
  Serikali kulifanyia kazi ombi la Malecela  Mbunge Mtera
spc
  Wafanyakazi afya waidai serikali bil. 2.1/-  Mbunge Viti Maalum
spc
  Umeme Muleba Kusini wakwama  Mbunge Muleba
spc
  Umeme wa uhakika Kigoma Des. 2009  Mbunge Kigoma
spc
  Lowassa: Wabunge mkubaliane aina na pensheni mnayoitaka  Mbunge 
spc
juu
Sitta azijia juu shule binafsi zisizosajiliwa [Agnes Yamo]
spc
SERIKALI imewapiga marufuku wamiliki wa shule binafsi za msingi na za sekondari ambazo hazijasajiliwa, kuandikisha na kupokea wanafunzi kwa muhula mpya wa masomo 2008...
juu
Kesi ya uchaguzi Mwibara yanguruma    Musoma [Neema Augustino]
spc
KESI ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Mwibara, inaendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Musoma chini ya Jaji Francis Mchome...
  Tanzania, Zambia zazungumza kuhusu umeme wa Rukwa    [P. Ngonyani]
spc
  Takwimu za watoto hazifahamiki    Mtwara [Hassan Issa]
spc
  Miche milioni 60 ya kahawa kusambazwa    Moshi [Charles Ndagulla]
spc
juu
Simba, Yanga zinatia aibu - Tenga      [Khadija Kalili]
spc
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Chilla Tenga, amesema kitendo cha klabu kongwe za Simba na Yanga kugubikwa na migogoro, kinaitia aibu nchi. ...
  Yanga yaongeza nondo CAF      [Ruhazi Ruhazi]
spc
 Msajili kuzima ubishi wa Simba leo     [Eugenia Kimolo]
spc
  Maskini JKT Mbweni Nje Cup      [Mwanne Sekuru]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2007 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234