SERIKALI imelitaka Shirika la Ndege Tanzania (ATC) kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini kiini hasa cha kukwama kwa mahujaji zaidi ya 1,000 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Aidha, wakati uchunguzi huo ukiendelea, serikali imeahidi kuwalipa kifuta jasho...
HAKUNA kitu kikubwa na chenye thamani kama imani, na hasa pale inapojengwa kwenye misingi ya kidini kwa waumini walio huru na wanaostahili kupata haki zao bila kuingiliwa na wengine...
TUKIO la mahujaji wa Kiislamu kukwama katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa siku saba si tu limeushaangaza umma bali pia limeitia aibu serikali na kuivua nguo kimataifa ...
JAMII inchini, imetakiwa kusaidia gharama za elimu ili kujikwamua katika minyororo ya umaskini na kujiandaa na ushindani wa soko la ajira kabla ya ujio wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ...
KUTOKANA na uhaba wa walimu hasa katika shule za vijijini, mwalimu Job Fundi anafundisha wanafunzi 284 wa Shule ya Msingi Mwansabo, Kata ya Wela wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora...
WASANII wa bendi ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta International, wanatarajiwa kuchuana katika shindano litakalojulikana kama Usiku Mkali wa Show Biz, imefahamika...
KOCHA wa timu ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, Mbrazil Marcio Maximo, amesema yeye si mwanasiasa, ukweli ni kwamba, kikosi anachokijenga sasa si cha mafanikio ya leo bali kwa siku zijazo...