|
|
Habari mpya motomoto! |
 |
|
|
 |
|
Tahariri
Rais Kikwete bado ana safari ngumu |
 |
 |
|
IJUMAA, Desemba 21, siku tano zijazo, Rais Jakaya Kikwete atatimiza miaka miwili tangu aingie madarakani.
Miaka miwili ni kipindi cha kutosha kupima utendaji wa kiongozi yeyote ... |
|
Miaka miwili Kikwete Ikulu, tumaini lililopotea [M.M. Mwanakijiji] |
 |
 |
|
IJUMAA ya Desemba 21, wiki hii, Rais Jakaya Kikwete, anatimiza miaka miwili madarakani.
Pamoja na fanikio hili binafsi kwake na anguko kwa wananchi, miaka miwili ya Kikwete inaacha maswali mengi kuliko majibu... |
 |
Ufisadi na viongozi fisadi Tanzania [Padri Kitambo Robert] |
Miaka miwili ya Kikwete; Maswali ni mengi kuliko majibu [H. Katabazi] |
 |
Elimu yetu ya sasa yawafaa wananchi? [Deus Bugaywa] |
 |
Sauti ya Jumapili
Rais Kikwete; sitaki kuamini [Ratifa Baranyikwa] |
 |
Tusemezane
Mlaji wa mwisho ndiye anayeumia [Privatus Karugendo] |
 |
Tuna sababu za kufurahi tunaposherehekea uhuru? [Juvenalis Ngowi] |
 |
Sitaki
JWTZ na miradi ya kitalii [Ndimara Tegambwage] |
 |
Kona ya Vijana
Li-wapi Baraza la Vijana Tanzania? [Hillary Mkony
] |
 |
Ukumbi wa SMS
Kauli za wananchi kuhusu huduma zinazotolewa na TRL [] |
 |
Vurugu, unyanyasaji vinapotumika kama maficho ya udhaifu [] |
 |
Tanzania bila TANESCO inawezekana [Christopher Nyenyembe] |
 |
Anko Tom anasemaje?
Haya, Krismasi hiyoo inawadia [Tom Kilumbi ] |
 |
Tumetelekeza utamaduni wetu, tuko hatarini kuangamia [Daniel Misheto] |
 |
Asili ya Muziki
Sebene (12) [Innocent Nganyagwa ] |
juu 
|
|
 |
|
Nauli ya mabasi mikoani juu
[Kulwa Karedia] |
 |
 |
|
ZIKIWA zimebaki siku tisa kabla ya Sikukuu ya Krismasi, nauli ya mabasi yaendayo mikoani imepanda.
Uchunguzi uliofanywa na Tanzania Daima Jumapili kwa siku kadhaa katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, umebaini kuwa kupanda huko kwa nauli kunatokana na ongezeko la wasafiri wanaotoka Dar es Salaam kwenda mikoani kwa mapumziko ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya... |
juu 
|
|
 |
|
Watatu wauawa, wanyofolewa nyeti
Mwanza
[Wilson Elisha] |
 |
 |
|
WATU wasiojulikana, wamewaua vikongwe watatu mkoani Mwanza kwa kuwakata mapanga na mmoja wao kunyofolewa sehemu za siri na kutoweka nazo ... |
juu 
|
|
 |
|
|
juu 
|
|
|