KUNA kila dalili sasa kuwa, upepo wa kisiasa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, ndani ya chama hicho, umeanza kuchafuka. Dalili hizo zinaonyesha kuwa, Prof. Lipumba sasa anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanachama wa chama hicho...
ALHAMISI wiki hii, Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, alitangaza bajeti ya serikali ya mwaka 2007/2008. Bajeti hiyo imepokelewa kwa hisia tofauti na wananchi wa kada mbalimbali; wapo wanaoina kuwa ni bajeti safi, na wengine wanalia kuwa, itawaumiza kwa kuwazidishia ukali wa maisha...
NAANDIKA nikijua kwamba kwa wananchi walio wengi, hii ni wiki ya kununa na kukasirika. Wanainunia serikali kwa sababu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2007/08. Nimeisoma halafu nikajiuliza: Kwa bajeti hii tutaishi au tutakuwapo tu? Huu ndiyo mwanzo wa “Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.” Inatupa ujasiri wa kujitapa kwamba “Tanzania yenye neema inawezekana?” ...
WATENDAJI na wenyeviti wa Serikali za Mitaa, wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa elimu ya kuzuia maambukizi ya ukimwi. Wito huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake Waishio na Virusi vya Ukimwi Tanzania (TNW+), Rehema Ndelwa...
ASKOFU wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Ruvuma, Dk. Maternus Kapinga, amewabaini watu tisa ambao ni watendaji wa serikali na wa vyama vya siasa, aliodai wanajihusisha kuendesha hujuma dhidi ya askofu na waamini wa kanisa hilo...
KIKUNDI cha kwaya cha Huruma Rainbow Singers (HRS) cha jijini Dar es Salaam, kimekamilisha kurekodi albamu yake ya kwanza ambayo ina nyimbo mchanganyiko. Akizungumza na Tanzania Daima jana jijini Dar es Salaam, mwalimu na mwimbishaji wa kwaya hiyo, Alexander Kaija...
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam, juzi iliingia kambini kwenye Hoteli ya Bamba Beach kujiandaa na hatua ya Sita Bora ya Ligi Ndogo, huku ikiwa na wachezaji watano walio wagonjwa...