|
|
Habari mpya motomoto! |
 |
|
|
 |
|
Tahariri
Hongera Stars, hakuna kulala! |
 |
 |
|
JUZI usiku, timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, iliwapa faraja Watanzania kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso katika mechi iliyopigwa nchini humo. Ushindi huu, umekuwa faraja kubwa kwa Watanzania na tunaweza kusema, umekuja wakati muafaka, hasa baada ya Watanzania kubadilika na kuanza kuipenda timu yao... |
|
Taifa Stars yaleta raha kwa Watanzania [Deodatus Mkuchu] |
 |
 |
|
KAMA kuna siku ambayo, wapenzi, mashabiki wa soka na Watanzania kwa ujumla, walipatwa na wazimu wa furaha, basi ni usiku wa juzi. Hii ni baada ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, iliyo katika kampeni ya kusaka tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwakani nchini Ghana, kuitandika Burkina Faso 1-0... |
 |
Mtazamo wangu
Kumbe Watanzania wanaipenda Stars! [Deodatus Mkuchu] |
EA Cup 2007
Fursa nyingine kwa vijana kuonyesha vipaji vya soka [] |
 |
Messi
Nyota anayelipwa zaidi ya Ronaldinho Barcelona [Shabani Matutu ] |
 |
Young Life Marekani yaacha changamoto kikapu Tanzania [Restuta James] |
 |
juu 
|
|
 |
|
|
 |
|
|
 |
|
|
juu 
|
|
|