logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumanne, 19 Juni 2007
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Wapinzani wataka bajeti ya trilioni 8 [Mwandishi Wetu]
spc
KAMBI ya Upinzani bungeni jana iliwasilisha bajeti mbadala ikijibu hoja za Waziri wa Fedha, Zakia Meghji na Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Dk. Juma Ngasongwa. Waziri Kivuli wa Fedha, Hamad Rashidi Mohamed (Wawi-CUF), alieleza kusikitishwa kwake na matumizi makubwa na yasiyo na tija serikalini...
  Walioteketea Singida wafikia 25 [Mobin Sarya na Jumbe Ismailly]
spc
  Dk. Salmin arejea haoni sawasawa [Mwandishi Wetu]
spc
 
Tahariri    Chonde wabunge wetu, tunataka nyumba zetu
spc
TULIANDIKA, tukaandika tena na sasa tunaandika kwa mara nyingine, tukijua vyema kwamba Bunge la Bajeti linakutana Dodoma. Kama tulivyopata kuahidi siku zilizopita, tunaamini kwamba, Rais Kikwete, mawaziri wake na wabunge kwa ujumla wao walisikia kile tunachokililia na kimsingi tutaendelea kulipigania hilo hadi hapo tutakapoona limemalizika na kuhitimishwa...
Mtazamo Mabadiliko ya Katiba Tanzania hayaepukiki (6)  [Edwin Mtei]
spc
KATIKA makala yangu ya mwisho ya mfululizo huu kuhusu Katiba, nilimalizia kwa kuahidi kwamba makala ifuatayo ningeandika kuhusu Tume ya Uchaguzi. Kutokana na tuhuma au kudhihirika hivi karibuni kwamba haki, fadhila na madaraka ya rais yametumiwa vibaya kujinufaisha binafsi...
  Meghji tuisaidie kwa hili  [Martin Malera]
juu
Habari zote na Kulwa Karedia, Dodoma
Bil. 1.6/- zilitumika Ngurdoto    Mbunge Viti Maalum
spc
SERIKALI imebainisha kuwa jumla ya sh bilioni 1.6 zilitumika katika semina elekezi kwa viongozi wa serikali katika Hoteli ya Ngurdoto mkoani Arusha mwaka jana...
  Serikali yakiri kiwango cha kufaulu kushuka    Mbunge Viti Maalum
spc
  Bil. 4/- zilitumika kupambana na RVF    Mbunge Viti Maalulm
spc
  Serikali yafunga geti la Bologonja    Mbunge Kikwajuni
spc
  Sitta awaonya wabunge   
spc
  Kamati yaitahadharisha serikali kuhusu umeme   
spc
juu
Agizo la Lowassa lakwama [Ratifa Baranyikwa]
spc
AGIZO la Waziri Mkuu, Edward Lowassa, juu ya ukarabati wa taa za barabarani, limekwama kwa kile kilichoelezwa kuwa ni wimbi la wizi wa vifaa vya taa hizo...
  Magari yaliyozidisha uzito yatozwa bil. 1.8/- [Agnes Yamo]
spc
  Barrick kuboresha kitengo cha madini UDSM [Seleman Is-haq]
spc
  DAWASCO kufunga mita za maji [Nasra Abdallah]
spc
juu
Wabunge waibana serikali    Dodoma [Kulwa Karedia]
spc
KAMA ilivyotarajiwa, wabunge wengi walioanza kuchangia bajeti ya 2007/08 jana jioni, wameonyesha kutoridhishwa kwao na ongezeko la ushuru katika bidhaa za mafuta ya aina zote...
  Ongezeko la mafuta laitisha kamati ya Bunge    Dodoma [Rahel Chizoza]
spc
  Hakimu akemea wanasiasa kuingilia kesi ya Chitalilo    [Mwandishi Wetu]
spc
  CHADEMA kuwaengua viongozi wala rushwa    Moshi [Grace Macha]
spc
  Serikali kuwaondoa wanaoishi milimani Moro kwa ustaarabu    []
spc
  Dk. Shein: Serikali itatekeleza ahadi zake    Lindi [Penzi Nyamungumi]
spc
juu
Wanahabari wang’ara Miss Ukonga 2007 [Schola Athanas na Shabani Mpalule]
spc
WAANDISHI wa habari, Mariam Nkya, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo cha Uandishi wa Habari, Dar es Salaam School of Journalism (DSJ), na Safina Kassanga wa Kampuni ya Mwananchi Communications, juzi usiku waling’ara katika kinyang’anyiro cha Miss Ukonga 2007....
  Nyimbo za uswahilini kuibeba Tanzania - Mtanga [Shabani Matutu]
spc
juu
Stars haijapata kutokea      [Mwandishi Wetu]
spc
HAKIKA, haijapata kutokea, wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana walichangiwa jumla ya sh mil. 322.5 katika harambee iliyosimamiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowassa, mjini Dodoma...
  Taifa Stars yaiteka Dar      [Makuburi Ally]
spc
  Ghana njia nyeupe - Serikali      [Kulwa Karedia]
spc
  Athumani Idd sasa ruksa kukipiga Yanga      [Khadija Kalili]
spc
  Marealle Open kurindima Juni 23      [Ruhazi Ruhazi]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2007 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234