MTANDAO mpya wa wizi wa fedha za serikali zilizotengwa kwa ajili ya malipo ya mafao ya waliokuwa wafanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, umeibuka. Tayari mtandao huo umeishaiba mamilioni ya fedha za wafanyakazi wa jumuiya hiyo kwa kutumia nyaraka feki...
Wizara
ya Maji na Maendeleo ya Mifugo imesema inaandaaa utafiti
kwa msaada wa Serikali ya Japan, kwa ajili ya kupeleka
maji katika vijiji kadhaa katika mikoa ya Mwanza na Mara.
Waziri wa Maji na Maendeleo ya Mifugo, Edwar Lowassa, jana
aliliambia Bunge kuwa...
SEPTEMBA 25 hadi Agosti mosi mwaka huu, katika Jiji la Osaka Japan, kutarindima Mashindano ya Dunia ya Riadha. Mashindano haya ni makubwa kuliko yote katika kalenda ya Shirikisho la Riadha la Kimataifa (IAAF), ambayo hufanyika kila baada ya miaka miwili....
MIGOGORO ndani ya dini ya Kiislamu nchini inatokana na ubinafsi na tamaa ya viongozi wa dini hiyo katika jumuiya zake mbalimbali. Rais wa Jumuiya ya Waislamu ya Deenil Haqi, Saad Fadhil, tawi la Tanzania, alisema hayo wakati wa mkutano na waandishi wa habari...
ZAIDI ya watu 500, wakiongozwa na wamiliki wa viwanda vya mbao wilayani Mufindi, wanatarajia kuandamana kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa wakipinga hatua ya Wizara ya Maliasili na Utalii, kupandisha gharama za magogo kwa zaidi ya asilimia 500...
HATIMAYE kundi la muziki wa kizazi kipya la Watu Pori, la mjini Morogoro, limekamilisha kurekodi albamu mpya, ‘Fanya Kazi’, baada ya kuamua kumshirikisha msanii chipukizi Ally Othmani, badala ya Judith Wambura ‘Lady Jaydee’...
KWA dakika kadhaa, kelele za shangwe, nderemo na vifijo vya mashabiki wa Yanga, viligubika eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere, Dar es Salaam, pale wachezaji wa timu hiyo walipowasili kwa ndege wakitokea jijini Mwanza...