logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumapili, 27 Januari 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Ballali aitikisa serikali [Charles Mullinda na Kulwa Karedia]
spc
KUNA kila dalili kwamba, mwenendo wa mambo serikalini si mzuri baada ya aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Daudi Ballali, kueleza nia yake ya kutaka kurejea nyumbani kukabiliana na tuhuma zinazomkabili na kuwaweka bayana wahusika wakuu wa sakata hilo...
  Annan aisikitikia Kenya [Mwandishi Wetu]
spc
  Mgogoro wanukia Mwanza Hotel [Jane Kajoki]
spc
  Mwandishi ITV afariki dunia [Keneth Mwazembe]
spc
 
Tahariri    Tuna shaka na Mkapa
spc
JUMAPILI iliyopita, tuliandika tukimuomba Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, avunje ukimya wake, ajitokeze kuzungumzia kashfa kubwa ya upotevu wa mabilioni ya fedha za Watanzania zilizochotwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakati akiwa kiongozi mkuu wa taifa letu...
Sauti ya Jumapili Nikikutana na Spika Sitta!  [Charles Mullinda]
spc
JUMANNE, Januari 29, mwaka huu, kikao cha kumi cha Bunge la Jamhuri kinaanza mjini Dodoma chini ya Spika Samuel Sitta. Nimepanga kusafiri kwenda huko nikakutane naye ‘mwishimiwa’ Sitta nizungumze naye machache ...
  Mauaji ya Zanzibar na Pemba : Ninayo ndoto  [Prudence Karugendo]
  Wazo jepesi Anakula mzoga au ndiye aliyeua?  [Juvenalis Ngowi]
spc
  Maswali magumu Eti Ballali kalishwa sumu?  [Ansbert Ngurumo]
spc
  Nasema hivi Bunge linapolalia ufisadi, wananchi kirago  [Christopher Nyenyembe]
spc
  Ukumbi wa SMS Maoni kuhusu Rais Kutengua uteuzi wa Gavana Ballali  []
spc
  Sitaki unyanyapaa kwa wanafunzi  [Ndimara Tegambwage]
spc
  Tusemezane Hakuna miujiza katika utajiri  [Padri Privatus Karugendo]
spc
  Nchi inapoongozwa kwa amri ya 11  [Deus Bugaywa]
spc
  Dhambi ya choyo  [Mwinjilisti Kamara Kusupa]
spc
  Ni mwaka mpya, lakini tumefanya nini mwaka jana?  [Tom Kilumbi]
spc
  Tanzania yapiga hatua kutokomeza ukoma   [Safina Tibanyendela]
spc
  Asili ya Muziki Hip Hop (3)  [Innocent Nganyagwa]
spc
juu
Wasomalia 10 mbaroni Dar [Chalila Kibuda]
spc
JESHI la Polisi mkoani Dar es Salaam linawashikilia raia kumi wa Somalia kwa kuishi kinyume cha sheria nchini. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Jamal Rwambow, alisema tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 9:30 katika maeneo mbalimbali ya jiji. ...
  Aggrey kujenga chuo cha ualimu [Dauson Harold]
spc
  KOSAF yaipiga jeki serikali [Mobini Sarya]
spc
juu
Diwani asimamishwa uongozi kwa kula michango    Shinyanga []
spc
DIWANI wa Kata ya Usanda kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Shinyanga Vijijini, Abeid Ndaji, amesimamishwa uongozi kwa tuhuma za kukiuka kanuni za uongozi baada ya tume iliyoundwa kuchunguza tuhuma hizo kubaini kuwa alitafuna michango ya ujenzi wa shule za sekondari...
  JK awasihi Pelpehutu kurudi kwenye mazungumzo    Mwanza [Jane Kajoki]
spc
  Tani 20, 000 za chakula zahitajika Kishapu    Kishapu [Shangwe Thani]
spc
juu
Hivi Dar hadi Bagamoyo kufuata maonyesho? [Mwandishi Wetu]
spc
HATUA ya serikali ya kuamua kujenga kumbi za kisasa za maonyesho huko Bagamoyo na hapa Dar imepongezwa na kukosolewa na wapenzi wa muziki na sanaa za maonesho. Licha ya kufurahishwa na mpango huo, wadau hao wamehoji mantiki ya uamuzi wa kujenga ukumbi wa kisasa wa maonyesho huko Bagamoyo, mbali na jiji la maraha la Dar es Salaam...
  Ubaguzi utazidi kuwatesa wanamuziki [Mwandishi Wetu]
spc
juu
Yanga yatakata kwa Ashanti Utd      [Makuburi Ally]
spc
YANGA, jana iliianza vizuri ngwe ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuifunga Ashanti United mabao 2-1 katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam...
  Nigeria, Benin hoi Ghana    Ghana '08 [Mwandishi Wetu]
spc
 FIFA yamwaga vifaa Ligi Kuu     [Makuburi Ally]
spc
  Nchi sita kushiriki mbio za magari Dar      [Chalila Kibuda]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234