|
MWENYEKITI wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba, amesema kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Daudi Ballali, ni mbinu za Rais Jakaya Kikwete, kujipatia umaarufu ilihali mhusika hayupo nchini, huku alioshiriki nao wakiendelea kutafuna mali za nchi...
|