logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumanne, 29 Januari 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Dereva wa waziri akatwa kichwa [Schola Athanas]
spc
KITENDAWILI cha mahali aliko Tumaini Mbaga, dereva wa Naibu Waziri wa Usalama wa Raia, Mohamed Aboud, aliyetoweka siku 10 zilizopita katika mazingira ya kutatanisha, kimeanza kuteguliwa baada ya mwili unaoaminika kuwa wa dereva huyo kukutwa ukiwa umetenganishwa kichwa na kiwiliwili...
  Upinzani ni Kimesera [Mkolo Kimenya]
spc
  Lowassa kuwekwa ‘kitimoto’ bungeni [Mwandishi Wetu]
spc
  Kesi ya Balozi Mahalu yaanza kunguruma [Nuru Yanga]
spc
  JK akemea umangimeza kwa watumishi wa umma [Ratifa Baranyikwa]
spc
  Prof. Wangwe: Sidaiwi Dawasco [Hellen Ngoromera]
spc
  Utata wazuka kifo cha mwandishi [Christopher Nyenyembe]
spc
 
Tahariri    Unyama huu ukomeshwe
spc
HABARI kubwa katika gazeti hili, toleo la leo, inahusu mauaji ya kinyama ya Tumaini Mbaga, aliyekuwa dereva wa Naibu Waziri wa Usalama wa Raia, Mohamed Aboud. Katika habari hiyo, Jeshi la Polisi limeeleza kuwa mwili wa dereva huyo ulikutwa kwenye pori la Kwembe Kipera, katika mpaka wa Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani, ukiwa umetenganishwa na kichwa....
Mtazamo wangu Wananchi nafasi ni yenu BoT  [Tamali Vullu]
spc
TIMU iliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, baada ya taarifa ya ukaguzi katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuhusu upotevu wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Kigeni (EPA), juzi ilitangaza kuanza kazi rasmi...
  Suluhu ni kujenga viwanda au kudhibiti mfumuko wa bei?  [O. Nyawangah ]
  Tunakosa washauri wa uchumi na fedha?  [Edwin Mtei]
spc
  Ufisadi ni sehemu tu ya matatizo ya BoT  [Abdul Mtemvu]
spc
  Tunapozikimbia malighafi zetu  [Giliard Sauli]
spc
  Bila barabara uchumi hautakua  [Daniel Misheto]
spc
  Magadi ya Ziwa Natron mkombozi wa uchumi Tanzania  [Salehe Mohamed]
spc
juu
Wafanyakazi Urafiki wagoma [Nasra Abdallah]
spc
WAFANYAKAZI wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki cha Dar es Salaam jana waligoma wakishinikiza kulipwa mshahara wa sh 150,000 badala ya ya sh 80,000...
  Mahakama yatupa ombi la menejimenti NMB [Happiness Katabazi]
spc
  TNBC na changamoto ya mdahalo wa uwezeshaji kitaifa [Mwandishi Wetu]
spc
  Wanafunzi kupata matokeo kwa SMS [Hellen Ngoromera]
spc
juu
Wafukuzwa shule kushindwa kuchangia madawati    Kibaha []
spc
WAKAZI wa Kata ya Visiga, wilayani Kibaha, Pwani wamelaani kitendo cha wanafunzi wa sekondari ya kata hiyo, kufukuzwa shule kwa kushindwa kuchangia madawati. Wanafunzi hao wamefukuzwa kutokana na kushindwa kuchangia sh 80,000 kwa dawati moja...
  Mshitakiwa adai kujeruhiwa na polisi    Moshi [Waandishi Wetu]
spc
  Kanisa latenga mil. 140/- kupima VVU    Bunda [Edward Ibabila]
spc
  TFDA kubadili maduka ya dawa baridi    Singida [Jumbe Ismailly]
spc
  ‘Wanaopinga uchimbaji magadi wanatumiwa’    [Salehe Mohamed]
spc
juu
Oliver Mtukudzi kutua Dar [Mwandishi Wetu]
spc
MWANAMUZIKI maarufu kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi ‘Tuku’, anatarajiwa kufanya onyesho ‘live’ katika Jiji la Dar es Salaam na Arusha. Kwa mujibu wa waratibu wa ziara hiyo, Kampuni ya Red Promotion Limited-Bohemia, Oliver ‘Tuku’ Mtukudzi atafanya onyesho la kwanza katika ukumbi wa The Marquee ndani ya Hoteli ya Movenpick, Ijumaa ya Februari mosi...
juu
Mukenya arejea Msimbazi      [Eugenia Kimolo]
spc
EDWIN Mukenya, nyota wa kimataifa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, alirejea nchini juzi akitokea kwao Kenya alikokuwa amekwama kwa muda mrefu kutokana na vurugu za kisiasa zinazoendelea nchini humo. Mwenyekiti wa klabu hiyo, Hassan Dalali, alisema jana kuwa Mukenya aliwasili juzi na leo anatarajiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam...
  Barclays kutia ubani Twiga Stars      [Khadija Kalili]
spc
 Maximo kuanika wakali 22 leo     [Makuburi Ally]
spc
  Licha ya kipondo, mabondia safi      [Eugenia Kimolo]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234