logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumatano, 30 Januari 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Hoja ya ufisadi moto [Waandishi Wetu]
spc
HOJA ya ufisadi na ripoti ya ubadhirifu wa mamilioni ya fedha ndani ya Benki Kuu (BoT), imeendelea kugusa hisia za viongozi mbalimbali hapa nchini. Ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo lilifunguliwa rasmi jana, hoja hiyo ndiyo iliyoonekana kuchukua nafasi ya kwanza miongoni mwa mambo mengine kadhaa...
  Kenya kwazidi kutisha [Mwandishi Wetu]
spc
  Serikali yakiri Ubadhirifu ubalozini [Peter Nyanje]
spc
  CUF yalaani mwakilishi wake kusimamishwa [Salehe Mohamed]
spc
  Menejimenti NMB yachemsha [Happiness Katabazi]
spc
 
Tahariri    Haya ni matumizi mabaya ya fedha
spc
JANA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge), Dk. Batilda Burian, alitangaza bungeni kuwa serikali ilitumia sh milioni 142.96 kugharamia safari za mawaziri na wasaidizi wao mwaka jana, wakati wa ziara za mikoani, kwa kile kilichoelezwa kutoa ufafanuzi kuhusu bajeti ya serikali ya mwaka 2007/08...
Kiteto tuanzishieni safari ya mabadiliko  [Kitila Mkumbo]
spc
KUNA imani kwamba Watanzania ni wepesi wa kusahau mambo makubwa ya kitaifa. Kuna imani pia kwamba Watanzania ni wepesi wa kukubali yaishe pale wanapoona jambo fulani walilokuwa wanalidai limekataliwa na serikali, hata kama wanajua kuwa msimamo wa serikali si sahihi...
  Viongozi ndio wanaohatarisha amani  [Peter Nyanje]
  Fikra yakinifu Kenya sasa wananyoana, Watanzania tutie maji  [Chris Alan]
spc
  Uwanja wa mapambano Kiteto  [M. M. Mwanakijiji]
spc
  Rais Bush njoo na Ballali wetu  [Aloyce Menda]
spc
  Mtazamo wangu Rais Kikwete uliahidi saluni kijijini  [Irene Mark]
spc
  Kwa ajili yenu kina mama na vijana nitagombea urais  [Samson Mwigamba]
spc
  Kwanini kila ufisadi wa kaya hii yumo Kabacholi?  [Mpayukaji Msemahovyo]
spc
  Matibabu ya gerezani ni vidonge na rungu  [Mwinjilisti Kamala Kusupa]
spc
juu
Habari zote na Peter Nyanje na Rahel Chizoza, Dodoma
Mil. 142.9/- zatumika kutangaza bajeti  Mbunge  Viti Maalum
spc
SERIKALI ilitumia jumla ya sh milioni 142.96 kugharamia safari za mawaziri na wasaidizi wao mwaka jana, wakati wa ziara za mikoa yote nchini kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kutoa ufafanuzi kuhusu bajeti ya serikali ya mwaka 2007/08...
  Serikali: Hatuhitaji mwongozo mwingine  Mbunge Kalenga
spc
  Ajira za watumishi zacheleweshwa kwa miaka 5  Mbunge Makete
spc
  Serikali yashindwa kutoa taarifa miaka 28  Mbunge Kyela
spc
  Tunduru kupata umeme wa gesi  Mbunge Tunduru
spc
  Serikali yageuka kuhusu THI  Mbunge Viti Maalum
spc
  ADB kuweka umeme vijiji 21 Magu  Mbunge Magu
spc
juu
Wafanyakazi Urafiki wamtaka Waziri Chiligati [Nasra Abdallah]
spc
WAFANYAKAZI wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki wanaoingia katika siku ya pili ya mgomo, wamedhamiria kuendelea na mgomo huo hadi Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, John Chiligati, atakapokwenda kuzungumza nao kuhusu kupunguzwa kwa mishahara yao...
  Tanzania yaongoza vifo vya watoto EA [Dauson Harold]
spc
juu
Waratibu wataka walimu wazembe washughulikiwe    Kahama []
spc
WARATIBU wa elimu kata wa wilaya za Kahama na Bukombe, mkoani Shinyanga, wamezitaka ofisi za elimu za wilaya hizo kupambana na walimu wazembe, watoro, walevi na wasiofuata maadili ya kazi ...
  Wafanyabiashara wa mbao walia na serikali    Tanga [Mwandishi Wetu]
spc
  Wafanyabiashara kupata mil. 624/- mgodi wa Resolute    Nzega []
spc
juu
Akudo, Mtukudzi jukwaa moja Dar [Eugenia Kimolo]
spc
BENDI ya muziki wa dansi ya Akudo Impact, ya jijini Dar es Salaam, inatarajiwa kupanda jukwaa moja na mwanamuziki maarufu kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi 'Tuku' katika shoo itakayofanyika The Marquee, ndani ya Hoteli ya Movenpick, Ijumaa ya Februari mosi jijini...
juu
Cameroon, Sudan vitani leo     Ghana '08 [Mwandishi Wetu]
spc
BAADA ya Morocco na Namibia kufungasha virago katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, leo itakuwa zamu ya vigogo vingine kuziaga fainali hizo za 26. Morocco na Namibia zenyewe ziliaga juzi kutoka kundi A,...
  Machuppa, Idd waitwa Stars      [Khadija Kalili]
spc
 TBL yaongeza mamilioni zawadi Kili Marathon 2008     [Janelisa William]
spc
  Barclays yamwaga mil. 7/- Twiga Stars      [Khadija Kalili]
spc
  Rais ZFA awageuka wanaompinga Shamuhuna      [Munir Zakaria]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234