logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
alhamis, 31 Januari 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
CCM yampora hoja Dk. Slaa [Rahel Chizoza]
spc
KATIKA hali inayoonyesha mkanganyiko wa mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chama hicho tawala kimeibuka na kudai kwamba hoja ya ubadhirifu ndani ya Benki Kuu Tanzania (BoT) ilianzishwa na serikali na si Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa ...
  Butiku aibuka tena [Salehe Mohamed]
spc
  Marekani yampa tuzo Mengi [Martin Malera]
spc
  Mtikila amtaka Mkapa kortini [Nuru Yanga]
spc
  Wabunge wahofu sheria kumwongezea madaraka DPP [Peter Nyanje]
spc
  Makampuni ya umeme kuwekeza Z'bar [Saada Said]
spc
  RC Arusha asababisha kiwanda kufungwa [Waandishi Wetu]
spc
 
Tahariri    CCM msiwahadae wananchi
spc
HABARI kubwa katika gazeti hili leo inahusu kauli ya Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Chiligati, kwamba hoja ya ubadhirifu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), iliyoibuliwa bungeni na Dk. Willbrod Slaa haikuasisiwa na upinzani...
Walimu: Kweli tuna njaa au elimu inashuka?  [Jabir Idrissa]
spc
"SERIKALI yangu ina fedha nyingi, tatizo ni kuhakiki tu," ni kauli aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete Oktoba mwaka jana alipokuwa akihutubia kwenye sherehe za Siku ya Walimu Duniani zilizofanyika mkoani Lindi ...
  Maisha yetu Je, wengine wana thamani kuliko sisi?  [Marwa Myamhanga]
  Mtazamo wangu Viongozi Zanzibar wananishangaza  [Salim Said Salim]
spc
  Mabanda ya video ni hatari kwa wanafunzi  [Dianus Ishengoma]
spc
  Ijue Sheria Mfumo wa utatuzi wa migogoro ya ardhi  [Lusungu Hemed]
spc
  Chanzo na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi  [Ratifa Baranyikwa]
spc
juu
Habari zote na Peter Nyanje na Rahel Chizoza, Dodoma
Sheria za A. Mashariki zina nguvu kuliko za nchi  Mbunge  Muheza
spc
INAPOTOKEA sheria iliyotungwa na Bunge la Afrika Mashariki ikagongana na sheria ya nchi, sheria ya Afrika Mashariki inapewa nguvu ya kutumika na nchi husika kutakiwa kuhuisha sheria yake, ili kuondoa mgongano huo, Bunge lilielezwa jana...
  Aomba semina ya Katiba  Mbunge Dimani
spc
  Serikali izuie biashara ya chuma chakavu  Mbunge Hai
spc
  Wabunge Z'bar walalamikia mgawo wa fedha  Mbunge Magogoni
spc
  Wazanzibari watakiwa kuomba kazi A. Mashariki  Mbunge Donge
spc
  Tabora kuwa mji wa milenia  Mbunge Tabora
spc
juu
Shaali: Nimeonewa [Prisca Nsemwa]
spc
MWAKILISHI wa Mkanyageni Pemba, Haji Faki Shaali (CUF), aliyesimamishwa kuhudhuria vikao vya Baraza la Wawakilishi kwa siku 21 amedai kuwa taratibu zilizotumika hazikuzingatia kanuni za mfumo wa vyama vingi ...
  Mkemia Mkuu athibitisha mwili ni wa dereva wa Waziri [Waandishi Wetu]
spc
  Serikali haitambui mgomo wa Urafiki [Nasra Abdallah]
spc
juu
CHADEMA yasaidia wagonjwa    Tanga [Anna Makange]
spc
ZAIDI ya wagonjwa 100 waliolazwa kwenye wodi ya wazazi na watoto katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga - Bombo, wamepokea msaada wa majisafi, biskuti, sabuni na maji ya dawa (Drip), ambavyo vilitolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Tanga ...
  RC Shinyanga awaonya walimu    Shinyanga [Jane Kajoki]
spc
  Kata 10 kukabiliwa na njaa    Bunda [Belensi Alkadi]
spc
juu
Senegal, Bafana kufa au kupona leo     Ghana '08 [Mwandishi Wetu]
spc
MECHI mbili za mwisho za kuwania tiketi ya robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika zinapigwa leo kwa Tunisia kupepetana na Angola huku Afrika Kusini ikicheza na Senegal mjini hapa...
  Simba yawavaa Wamalawi leo      [Mwanne Sekuru]
spc
 Mwalala, Maftah safi Yanga     [Khadija Kalili]
spc
  Khatib, Ikangaa kukimbiza Mwenge wa Olimpiki Dar      [Waandishi Wetu]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234