RAIS JAKAYA Kikwete, amekata mzizi wa fitina kwa kuamua kupitisha majina ya waombaji kutoka Tanzania Visiwani, kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), iliyoibua mzozo na mvutano kwa waombaji wa Bara. Kikwete alitoa uamuzi huo jana katika kikao cha Kamati Kuu...
PROGRAMU ya kusaka vipaji vya vijana kwa mchezo wa soka iliyokuwa ikiendeshwa na Kampuni ya Vodacom, Vodacom Global Soccer Star Search (VGSS), juzi ilifikia mwisho kwa kuwapata nyota watatu bora. Vijana walioshinda hivyo kwenda kukuzwa kisoka katika nchi za Uingereza na Hispania, ni Casmas Mwazembe, Salum Asseid na Casto Francis....
OKTOBA 28, Makamu wa Rais wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Christopher Mutarabukwa, alitangaza kile alichokiita uamuzi wa kamati ya utendaji ya shirikisho hilo kwamba, wamelazimika kujiuzulu kutokana na matatizo yaliyolitikisa shirikisho hilo....
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Abuu Jumaa, amesema manispaa hiyo itaanza kuwatoza faini au kuwafikisha mahakamani watu wote watakaokuwa wakitupa taka ovyo katika manispaa hiyo. yeyote atakayekutwa anatupa takataka katika wilaya hiyo atatozwa faini au kufikishwa mahakamani....
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kuwa na msimamo na kuacha woga na uvivu wa kujenga hoja, ili kuliokoa taifa na mitafaruku isiyo ya lazima. Hayo yalielezwa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, alipohutubia wakazi wa Jiji la Tanga jana katika uwanja wa Mabawa Cassanova uliyopo jijini hapa...
MCHAKATO wa kurudisha fomu za shindano la Maisha Plus umesogezwa mbele hadi Novemba 8 mwaka huu. Awali fomu hizo zilianza kutolewa Oktoba 15 hadi 30 mwaka huu. Mratibu wa shindano hilo Masoud Ally ‘Kipanya’ alisema lengo la hatua hiyo ni kuwapa muda washiriki kuchukua fomu hizo kutokana na zile za awali kuwa chache kulinganisha na watu waliojitokeza kuchukua fomu hizo...
MWENYEKITI wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Kanali mstaafu, Idd Kipingu, amempongeza Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Chilla Tenga, kwa kuamua kutetea wadhifa huo katika uchaguzi utakaofanyika Desemba 14...