logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
ijumaa, 15 Februari 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
JK amlilia Lowassa [Waandishi Wetu]
spc
KWA mara ya kwanza tangu kujiuzulu kwa lazima, aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Rais Kikwete ameelezea hisia zake kuhusu tukio hilo, ambalo anakiri kwamba lilikuja wakati usiotarajiwa. Rais alimuelezea Lowassa kuwa kiongozi aliyelitumikia taifa hili kwa ujasiri na uzalendo mkubwa...
  Jina Richmond lazua balaa Dar [Lucy Ngowi]
spc
  Wapinzani watangaza Baraza la Mawaziri vivuli [Rahel Chizoza]
spc
  Wabunge wawang’ang’ania watuhumiwa Richmond [Peter Nyanje]
spc
  JWTZ ilifanya majaribio ya ukimwi kinyemela [Peter Nyanje]
spc
  CUF wadai kubaini udanganyifu daftari la wapiga kura [Asha Bani]
spc
 
Habari zote na Peter Nyanje na Rahel Chizoza, Dodoma
Makatibu wakuu kutembelea Buzwagi  Mbunge  Kahama
spc
SERIKALI imesema makatibu wakuu wa wizara kadhaa watafanya ziara katika mgodi wa dhahabu wa Buzwagi utakapoanza kufanya kazi mwishoni mwa mwaka huu...
  Serikali kumfuatilia mkandarasi  Mbunge Kilwa Kusini
spc
  Serikali inadhulumu marehemu?  Mbunge Viti Maalum
spc
  Serikali yafikiria kulinda transfoma  Mbunge Gando
spc
  Walimu wastaafu 250 waajiriwa  Mbunge Viti Maalum
spc
  Tandahimba wafuata mtandao Newala  Mbunge Tandahimba
spc
juu
Tahariri    Ukweli huu mchungu kwa watawala
spc
KWA miaka miwili sasa vyombo vya habari vimekuwa mstari wa mbele kuandika kuhusu tuhuma za baadhi ya viongozi wa serikali kuipendelea Kampuni ya kuzalisha umeme ya Richmond. Tuliandika wazi wazi kuwamba kampuni hiyo imejaa ubabaishaji na kwamba inabebwa na vigogo wa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wakati tukiandika haya, viongozi wengi walitupuuza na kutuona wenye wivu...
Sekondari za serikali zinatia aibu  [Fortunatus Malamsha]
spc
HIVI karibuni, Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), lilitangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika Oktoba mwaka jana. Matokeo hayo yanaonyesha kupanda kwa kiwango cha kufaulu kwa asilimia 3.65, huku shule za sekondari za serikali zikizidi kufanya vibaya ikilinganishwa na shule za binafsi...
  Kama kumuenzi St. Valentine ndiko huku, bora tuache tu!  [Khadija Kalili]
  Soka la Bongo Filamu iliyoibua vipaji vya wanasoka nje ya soka  [K. Kalili]
spc
juu
Maandamano ya Waislamu hatihati kufanyika [Waandishi Wetu]
spc
MAANDAMANO yaliyopangwa kufanyika leo kupinga ziara ya Rais wa Marekani, George W Bush, huenda yasifanyike kutokana na maandalizi yake kusuasua, kwa kile kinachoonekana ni hofu za kiusalama...
  Wadau waombwa kuchangia taasisi ya Amina Chifupa [Waandishi Wetu]
spc
juu
‘Ndege iliyoua Moshi ilipata hitilafu ya injini’    Moshi [Dixon Busagaga]
spc
NDEGE ndogo ya watalii, iliyoanguka na kuua watu wawili mjini hapa, ilikuwa na hitilafu kwenye injini yake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko, alisema jana kuwa ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Cissna namba 5H-FUN inayomilikiwa na Kampuni ya Serengeti Ballon Safari ya Arusha, ilikuwa na matatizo ya injini...
  Polisi yawahoji wanaoghushi saini ya mtoto yatima    Moshi [Charles Ndagulla]
spc
  Vipodozi hatari vyaendelea kuuzwa    Mwanza [Sitta Tumma]
spc
juu
Msondo, Sikinde kuchangia mfuko wa Amina Chifupa [Bethsheba Godson]
spc
MFUKO wa Amina Chifupa - Amina Chifupa Foundation - unatarajiwa kuandaa matamasha mbalimbali ya michezo na burudani kwa ajili ya kuchangia mfuko huo...
  AY awa wakala wa muziki Afrika Mashariki [Khadija Kalili]
spc
juu
AWASA yaitia kiwewe Simba      [Mwanne Sekuru]
spc
KITENDO cha Simba kutoka sare na Manyema FC katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyopigwa juzi, kimewatia hofu viongozi wa klabu hiyo, hata kulitaka benchi la ufundi, kufanya kazi ya ziada kuhakikisha timu inashinda katika mechi ya Jumapili dhidi ya AWASA ya Ethiopia...
  Maji yapeperusha mechi Uwanja wa Taifa     Ligi Kuu [Makuburi Ally]
spc
 Mamelodi, Miembeni bure leo     [Munir Zakaria]
spc
  Wawili kushiriki marathon China      [Janelisa William]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234