logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumamosi, 16 Februari 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
Bunge lapitisha mapendekezo ya kamati ya Richmond [Peter Nyanje]
spc
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana lilihitimisha mkutano wake wa 10 mjini Dodoma kwa kupitisha mapendekezo yote yaliyotolewa na Kamati Teule ya Bunge ya Kuchunguza Mkataba wa Kuzalisha Umeme wa Dharura kati ya Kampuni ya Richmond na TANESCO...
  ‘Vijimambo’ ziara ya Bush [Waandishi Wetu]
spc
  Utata MOI [Lucy Ngowi]
spc
  Wadau wa watoto kujadili ripoti ya dunia [Rahel Chizoza]
spc
  SUMATRACC yataka waliohusika ajali ya Singida waadhibiwe [Mobini Sarya]
spc
 
Habari zote na Peter Nyanje na Rahel Chizoza, Dodoma
Serikali yaipa notisi TICTS  Mbunge  Same Mashariki
spc
SERIKALI imeipa notisi kampuni ya kushughulikia makontena katika Bandari ya Dar es Salaam, ikiitaka wakae pamoja na kujadili mkataba baina yake na kampuni hiyo...
  Watu 20 wamepatiwa chanjo ya ukimwi  Mbunge Bumbuli
spc
  Ujenzi jengo la polisi wakwama kwa miaka 25  Mbunge Nkasi
spc
  Kampuni saba hazijalipa ada ya vitalu  Mbunge Ngorongoro
spc
juu
Tahariri    Ziara ya Bush mafanikio kwa taifa
spc
RAIS wa Marekani, George Bush na mkewe Laura Bush pamoja na ujumbe wake, leo wanatarajiwa kuwasili kwa ziara ya siku nne nchini. Hii ni mara ya kwanza kwa rais huyo kuwasili nchini. Ziara ya kiongozi huyo ni heshima kubwa kwa nchi yetu...
Mtazamo wangu ‘Why’ Andrew Chenge?  [Martin Malera]
spc
MAISHA ya Watanzania yanaweza kufananishwa na usiku wa giza totoro uliomkumba msafiri ghafla akiwa njiani. Huenda akawa ameianza safari yake asubuhi iliyoonekana kuwa njema kabisa, tena akiwa na matumaini makubwa ya kufika mapema aendako, kule ambako hakutakuwa na giza tena bali nuru tele ...
  Barua ya wazi kwa Balozi wa Marekani nchini  [M. M. Mwanakijiji]
  Waislamu, tatizo si Bush  [Salehe Mohamed]
spc
  Kwa nini miswada inaandaliwa kwa Kiingereza?  [Hellen Ngoromera]
spc
  Sakana: Tuache dhana ya kupeleka watoto kusoma Kenya, Uganda  []
spc
juu
DOWUTA yalaani TICTS kuongezewa mkataba [Daniel Misheto]
spc
CHAMA cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari Tanzania (DOWUTA), kimelaani kitendo cha Kampuni ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) kuongezewa muda wa mkataba kabla wa awali haujamalizika...
  RAAWU Chuo Kikuu wamfungulia kesi katibu wao [Happiness Katabazi]
spc
  Mvua yaharibu nyumba 33 Dar [Safina Tibanyendela]
spc
juu
MSD yasambaza ARV mbovu    Serengeti [Edward Ibabila]
spc
DAWA za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi (ARV) zinazotolewa na Bohari ya Dawa nchini (MSD), zinadaiwa kwisha muda wake wa matumizi, hivyo kuwa hatari kwa matumizi ya binadamu...
  Wanafunzi 3,079 wapata mimba    Arusha [Mustafa Leu]
spc
  Dereva aliyesababisha ajali Singida kizimbani    [Jumbe Ismailly]
spc
  Wananchi kuishitaki halmashauri    Serengeti [Belensi Alkadi]
spc
juu
Twanga kurejea Dar kwa kishindo [Mwandishi Wetu]
spc
MSAFARA wa magari 15 ya abiria pamoja na pikipiki 10 za mashabiki wa bendi ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta International, unatarajiwa kuilaki bendi hiyo itakapowasili kesho kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K Nyerere jijini Dar es Salaam...
  Simuhitaji Jokha Kassim - Yussuf [Abdallah Menssah]
spc
juu
Victor Costa kuwavaa AWASSA      [Eugenia Kimolo]
spc
SENTAAFU wa kutumainiwa wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, Victor Costa Nampoka Nyumba, kwa sasa yu fiti na anatarajiwa kuwamo katika mechi ya kwanza ya hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AWASSA ya Ethiopia, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ...
  Yanga yamponza Suma Coastal      [Mwandishi Wetu]
spc
 Ashanti Utd yaizima Mtibwa Sugar     [Mwanne Sekuru]
spc
  NSSF yaongeza netiboli Media Cup      [Eugenia Kimolo]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234