logo spc.r_ad0
sp.b_ad0
blu.strip
spc.bt_blu.strip
HABARI MPYA KITAIFA DAR MIKOANI TAHARIRI MAKALA MICHEZO
sp.b_menu
ban
sp.b_ban
jumapili, 30 Machi 2008
Yaliyopita
Pekua Tovuti
sp.t_sech.box sp.tafuta_w_tuma sp.t_tuma sp.r_tuma
sp.b_box sp.b_tuma
sp.b_F1
h.sep1
sp.r_men
sp.t
Gazeti la Jana
Matangazo
Bei zetu
Wasiliana nasi
Tuma habari
sp.b_tuma
sp.l_men
h.sep1
sp.l sp.t sp.r
LOGIN
sp.men.l sp.men.t sp.men.r
Username
sp.b_user
sp.t-word
Password
sp.b_word
sp.t_btn
sp.b_btn
sp.b
h.sep1
Habari mpya motomoto!
JK alemewa Butiama [Mwandishi Wetu]
spc
MZIGO mzito wa kimaamuzi unaonekana dhahiri kumlemea Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ambaye amelazimika kuviongoza vikao viwili vizito vya Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, vinavyofanyika Butiama...
  74 wafa mgodini Mererani [Ramadhani Siwayombe]
spc
  DUWASA yahitaji bil. 2.5/- [Ratifa Baranyikwa]
spc
  JK achangisha mil. 305/- za CCM [Mwandishi Wetu]
spc
  Ajenda za CC-CCM zawasumbua wajumbe [Edward Ibabila]
spc
 
Tahariri    Tujihadhari na vitendo vya kitapeli makanisani
spc
TUNA mashaka na taarifa za kutatanisha zinazowahusu watoto wawili waliojulikana kwa jina moja moja la Yusufu na Ramadhani, kuwa wanafanya vitendo vya kitapeli, kwa kutumia mgongo wa uchawi. Watoto hawa wanaelezwa kuwa katika matukio tofauti wamekuwa wakijifanya kuwa wamedondoka kutoka angani walikokuwa wakiwanga, kutokana na maombi ya waumini wa makanisa mbalimbali walikokwishawahi kufanya hivyo....
Kikwete mpweke Butiama  [Ansbert Ngurumo]
spc
WALIODHANI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinakwenda kufia Butiama, walikosea. Na waliotabiri kwamba kinakwenda kufufukia Butiama, walikosea pia. Sasa kiko wapi?...
  Robert Mugabe kushinda tena urais?  [Chacha Nyakega]
  Mwanzo na mwisho wa Kanali Mohammed Bacar  [Chacha Nyakega]
spc
  Butiama ya Nyerere inapofanyiwa mzaha  [Christopher Nyenyembe]
spc
  Mtegemea nundu Tanzania kama nchi ya kusadikika!  [Deus Bugaywa]
spc
  Jeshi la Polisi liwachukulie hatua askari waovu  [Hellen Ngoromera]
spc
  Serikali inahitaji msaada kupambana na wauza unga  [Salim Said Salim]
spc
  Tatizo la usafiri, sehemu ya maisha ya watu Dar  [Amana Nyembo]
spc
  Wizi EPA ni mkubwa kuliko tunavyoambiwa  [Nkwazi Nkuzi]
spc
  Bila CCM madhubuti Tanzania itayumba  [M. M. Mwanakijiji]
spc
  Wazazi wanajua mateso ya watoto wao kwenye daladala?  [Mobini Sarya]
spc
  Wazo jepesi Salamu kwenu makomredi wa chama chetu!   [Juvenalis Ngowi]
spc
  Sitaki Mgogoro mwingine Zanzibar  [Ndimara Tegambwage]
spc
  Ukitaka kupanga chumba Dar, tafuta wakati wa mvua  [Tom Kilumbi]
spc
  Asili ya Muziki Hip Hop (12) [Innocent Nganyagwa]
juu
Waunda kamati ya kuzuia mimba    Chunya [Christopher Nyenyembe]
spc
BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, limepitisha sheria ndogo ya kuundwa kwa kamati za kuzuia na kudhibiti mimba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani humo....
  Wahamasishwa kupima ukimwi    Igunga [Murugwa Thomas]
spc
juu
Stars yafa kwa Harambee Stars      [Mwandishi Wetu]
spc
BAO lililofungwa na Francis Ouma wa Harambee Stars katika dakika ya 85 ya mchezo, lilitosha kuipa ushindi wa 1-0 Harambee ya Kenya dhidi ya timu ya Tanzania, Taifa Stars, katika mechi ya kwanza ya hatua za awali za kuwania kufuzu fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani, iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nyayo, Narobi, Kenya....
  CECAFA yautaka uwanja mpya Dar      [Khadija Kalili]
spc
 MREFA watishiwa kuchomwa moto     [Moses Ng’wat]
spc
  Klabu zamtaka Rage TFF      [Wilbert Molandi]
spc
  Tanzania kushindwa kushiriki nyika dunia      [Tullo Chambo]
spc
juu
Habari Mpya  |  Kitaifa  |  Dar  |  Mikoani  |  Tahariri  |  Makala  |  Michezo  |  Matangazo  |  Webmaster
Copyright 2008 © FreeMedia Ltd.
Free Media limted
mtaa wa mkwepu na makunganya, slp 15261, dar es salaam, tanzania
simu +255-22-2120604  •  faksi +255-22-2126234