SPIKA wa Bunge Samuel Sitta amesema kwamba hajamtetea Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Jana vyombo vya habari viliripoti kwamba juzi Sitta aliwashambulia wanaomkosoa Rais Mkapa, vikimnukuu akisema wanaomshambulia Rais Mkapa hawalitakii mema taifa hili...
MAHAKAMA ya Rufani Tanzania imesema hukumu ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliyoruhusu kuwepo kwa mgombea binafsi nchini, itaendelea kuwepo hadi pale mahakama hiyo itakapotoa uamuzi mwingine...