Wadai wanakerwa jinsi Rais alivyomgeuka Pinda, Makinda
[Mwandishi wetu]
MOTO umewaka ndani ya kikao cha wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo wawakilishi hao walifikia hatua ya kutoa maneno makali dhidi ya Mwenyekiti wa chama hicho Rais Jakaya Kikwete...
Madaktari wasema serikali haina nia ya kumaliza mgomo
MVUTANO baina ya serikali na madaktari umechukua sura mpya baada ya wataalamu hao kusema Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Haji Mponda, amelidanganya Bunge...